Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
Kipindi baada ya corona kuisha kitakuwa ni kipindi selective sana. ni kipindi ambacho kitachagua biashara sana. kitachagua ni biashara gani iliyokuwa hai iendelee kuishi na ipi ife, kulingana na needs and wants za kipindi hicho.
Mostly the needs business ndizo zitasavive eg biashara za mazao,dawa na food industries, the wants business nyingi zitasuffer sana eg transportation (mashirika ya ndege sanasana), clothes ,utalii na wanaotegemea dini.
Kwa waajiriwa ni vyema kujiandaa maana hali ndiyo mbaya zaidi.naona kipindi ambacho kitazaa matajiri wapya wengi sana.
Mostly the needs business ndizo zitasavive eg biashara za mazao,dawa na food industries, the wants business nyingi zitasuffer sana eg transportation (mashirika ya ndege sanasana), clothes ,utalii na wanaotegemea dini.
Kwa waajiriwa ni vyema kujiandaa maana hali ndiyo mbaya zaidi.naona kipindi ambacho kitazaa matajiri wapya wengi sana.