Huenda ikawa ni mtumishi wa serikali ndio maana unaongea hivo, hadi sasa Tza kuna watu hawana kaz hotel zimefungwa na nyingne kupunguza watu, sekta ya utalii ishadorora sasa hadi kufikia Julai unafikiri itakuwajeNilifikiri ni huku kwetu.
huu uchumi wetu wa kienyeji (unplanned) hakuna litakaloharibika
Inategemea upo sekta gani kawaulize waliopo kwenye utalii ajira hakuna watu wamerudi makwao hotel zimefungwa! Athari ishaanza kujionyesha..
Haha! Hiyo haiathiriki ndio maana huoni ya wengine.Ulozi
Jr[emoji769]
Huo ndio ukweli wenyewe!!! Ila kwa ulaya, ndio huonekana mala moja, huku, anguko lisiwepo huwa kama lipo tu!!!! Na maisha yanasonga, utaambiwa kwenye soko la dunia bei ya mafuta imeshuka, lakini huku, huoni tofauti kubwa!! Utaambiwa kwenye soko la dunia bei ya zao fulani imepanda sana!! Huku bei utakayouzia zao hilo ni, ile ile, tena usishangae ukalipwa pungufu zaidi.Kwa Afrika ni ngumu hata kuhisi mtikisiko
Jr[emoji769]
Soma uzi tena na tena utaona nmeeka hzo athar...Ungekuja na uzi wa kueleza athari hizo ni zipi hata kwa uchache, kisha utuulize tunajiandaaje kwa athari hizo nadhani ungetusaidia.
Unaweza sema hatuna cha kupoteza ila hao wa nje tunaowategemea wakianguka ni wap ata pa kupata mkopo sie??Hofu ya nini sisi tulishaanguka kitambo...SIONI CHA KUPOTEZA
Naona umem-copy kaka yako Ontario huko Instagram na kuja kui-paste huku,Wasalamu wana JF...
Natumai ni wazima na mnaendelea kuchukua tahadhari juu ya virusi hivi vya corona vinavyoitesa dunia kwa sasa.
Je ushawahi kaa ukawaza anguko kubwa la uchumi linalokuja baada ya corona!!?
Hii Corona ni kama upepo tu lakini huu mwaka hatuwezi kukwepa GREAT RECESSION. Kirusi kina athari ndogo sana kulinganisha na economics crisis inayofuata baada ya Corona. Soko la hisa la US mpaka sasa limeanguka kwa 24% in less than 2 months. Makampuni yamefunga, wafanyakazi wapo nyumbani, watu wanapunguzwa ajira, hakuna economic activities
Dunia ni kama imesimama, hakuna mzunguko wa pesa, unemployment rate imeongezeka maradufu, Hakuna uwekezaji, hakuna uzalishaji, hakuna consumer spending. Dunia nzima inaosha mikono tu, uchumi umelala. Kama Corona ikigonga na hali ikawa hivi mpaka June, basi tutashuhudia one of the worst ECONOMIC CRISIS in human history.