Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejiandaa VIPI na mlipuko mpya wa Human Metapneumo Virus ( HMPV ) ulianzia huko China ambao virusi vina tabia Sawa na zile za Uviko ?
Mathanzua
Alisema tangu mwaka jana miez ya septermber hivi na akawa anarudia rudia sana,Ubert angel yule NABII alisema hii kitu , ila sikujua ni kipindi gani cha mwaka . Aidhaalisema kuwa itakuwa mbaya kuliko corona hapo ndipo niliogopa na haitadumu muda mrefu
Hakuna kupoa aisee!Washaanza tena hawa wavimba macho
Ova
Unamuamini yule tapeli?Ubert angel yule NABII alisema hii kitu , ila sikujua ni kipindi gani cha mwaka . Aidhaalisema kuwa itakuwa mbaya kuliko corona hapo ndipo niliogopa na haitadumu muda mrefu
Kuna ukweli kwenye hili.COVID yenyew sijui Kama imeisha maana kuna upepo wa pneumonia Unaondoka na watu kimya kimya Toka mwaka jana,,,,kuna jamaa yangu alifiwa na sis yake tena alikua young 30s,
Kiss goodbye in advance to your friend and neighbour.Umejiandaa VIPI na mlipuko mpya wa Human Metapneumo Virus ( HMPV ) ulianzia huko China ambao virusi vina tabia Sawa na zile za Uviko ?
Mathanzua