Umejiandaaje na mlipuko mpya wa Human Metapneumo Virus (HMPV)?

Umejiandaaje na mlipuko mpya wa Human Metapneumo Virus (HMPV)?

Nimenunua Azuma,Vitamin E na C na nje nina mlimao now naumwagilia uzae tenaa.Kinaweza waka aiseee.

Bust kinga yako kwa vitamins tu now
 
Tuendelee na mazoea ya kunawa mikono kwa sabuni! Kukwepa misongomano isiyo ya lazima!
Ukiona una homa nenda kituo cha Afya haraka!
Kwa kifupi Mungu atusaidie.
 
"Easly Way If You Want To Control Human Population Just Disturb Their Respiratories Systems"
 
Umejiandaa VIPI na mlipuko mpya wa Human Metapneumo Virus ( HMPV ) ulianzia huko China ambao virusi vina tabia Sawa na zile za Uviko ?
Mathanzua
Hakuna virus hakuna nini,utapeli mtupu.Last time with Covid-19 walibatiza Seasonal Flu in Europe wakaiita Covid,hatimaye wakaua watu wengi kwa kutumia dawa kama Remdesivir nk. hasa wazee na kudai kuwa wamekufa kwa Covid.Huku kwetu Africa hawakupata sana mwanya huo kwa kuwa sisi usually hatuna seasonal flu.Hata hivyo kwa kutumia our corrupt leaders walibatiza magonjwa mengi kuwa Covid.

In Europe Seasonal Flu ili disappear during Covid,and I believe this time around it won't be any different.
 
Back
Top Bottom