Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
I knew, ni lifala moja tu ambalo litakua kwenye Ignore list.......liendelee kupiga nyeto huko linikomeAsante Evelyn salt kwa kunizalia mapacha
Hayawi Hayawi sasa yamekuwa baada ya kumlamba kwa zaidi ya mwaka nimefanikiwa kupata baraka ya watoto wa 2 wa kiume kutoka kwa my love Evelyn Salt Niwatoe hofu wakuu mapenzi ya mtandaoni yapo na yanafanya kazi huyu binti Evelyn Salt tulianza kama masihara tu hatimaye leo kanipatia watoto...www.jamiiforums.com
Sidaiwi Kodi Wala Ada ,Sasa kwanini hela nisimpe wa moyo ,kipenzi, malkia wangu Evelyn Salt?๐คฃ๐๐
Kwamba kesho itajihangaikia
Topolo ushakuwa kuwadi eeeh wa wapenzi wa watu ? Takukata kichwaMmmh mhurumie kijana
Ashakupenda
Apeleke mapenzi yake huko kijijini kwaoMmmh mhurumie kijana
Ashakupenda
Twende Waikiki mama achana na watoto hawa au tubadili eneo?I knew, ni lifala moja tu ambalo litakua kwenye Ignore list.......liendelee kupiga nyeto huko linikome
Usirudie ,huwa sitaki utani kwenye mahusiano๐๐ ๐๐คฃ
Nisamehe mkuu
Sikujua kama ni pisi yako
Wewe ndio umemzalia mwamba mapacha?Ntaongea na mwalimu mkuu hana shida, ni muelewa
Mwanaume hazai, sijamzalisha mtu mie ๐นWewe ndio umemzalia mwamba mapacha?
Oya Mimi mchizi boti mwenzio ,vunga na Mimi nipate kuishi shemMimi kama kaka mahusiano yenu siyatambui
Hebu Fanya muamala nikupe ruksa ya kumla dada angu
Sawa homeboyAndaa fedha
PorridgeMimi nina mshkaj wangu ni daktar katka hospital binafsi hivyo nikionaga mambo hayatembei January huaga naenda kujifanya nimezidiwa pale kwa jamaa yangu ananiandikia mixture dawa kumbe me mzima na ninalazwa kama wiki mbili hivi huku nyuma wife analipia kila kitu me hela yangu najifanya najiuguza kwaio hela zangu wife anajua zinaishia kujiuguza kumbe usiku natoka zangu na maisha yanaendelea swafi na January inakata kiwepesi nampoza hela ya bia mbili jamaa yangu mchezo unakua umeisha kwa stail hio
Ni vijana wa hovyo wanaoshindana na Mimi nyangema๐คฃ๐๐
Leo huyu dada amegombewa sana
Sawasawa, kazi yetu ni...to lead, provide, protect and love. Soma Ephesians. Siku njema.Kwenye kikao Cha mwisho wa mwaka Cha wanaume .
Mwenyekiti amelalamika Sana kuwa Kuna wanaume wanashusha heshima yetu kwa nguvu na sio muda tukiwakamata tutawafukuza kwenye chama chetu watajua wanaenda wapi .
Hapa nimegundua wewe inabidi uwe mmoja wa wataotimuliwa ,wacha nitume jina kwa chair ,huwezi kwepa majukumu alafu kujisifia hapa
Mganga wangu hii wiki haiishi, atafurahi ๐น ngoja nimuombe acc namba๐คฃ๐๐
Leo huyu dada amegombewa sana