Vijana wengi ambao wanatarajia kujiunga na elimu ya wanategemea mkopo ili kuweza kusoma, sasa wewe kijana unaesubiri mkopo umejiandaa vipi endapo utakosa?
utakosaje mkuu
hakosii mtu hapa...!!
uo ndiyo ukidume,iyo hali ndugu ilinitokea namimi o-level form 3+4 na advance form 5 nlikuwa narudishwa darasan na mwenzangu mmoja,yaan wawil tu,lakn mungu alisaidia nkamaliza baada ya kufika form 6 na kulipa ada kikamilifu.mungu tumshukuru na tupate boom hata asilimia ndogo poa tu.
wape njia/mbinu ulizokuwa unatumia kusoma ukiwa na hali ngumu na ukata.
Mkuu mbinu ni nyingi, kikubwa ni kuyasoma mazingira ya chuo husika ili kuumiza kichwa jinsi ya kusurvive. Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikua mpaka nawafanyia watu assignments kwa malipo, au wakati mwalimu ametoa kazi ya group mimi naenda kuchimba naifanya mwenyewe then kama ni group la watu kumi natafuta watu tisa wale ambao hawako serious hawana ma group na kuwatoza let's say 2000/= per person ili kumuweka mtu kwenye group langu. Hii ni mojawapo ya mbinu.
Mkuu mbinu ni nyingi, kikubwa ni kuyasoma mazingira ya chuo husika ili kuumiza kichwa jinsi ya kusurvive. Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikua mpaka nawafanyia watu assignments kwa malipo, au wakati mwalimu ametoa kazi ya group mimi naenda kuchimba naifanya mwenyewe then kama ni group la watu kumi natafuta watu tisa wale ambao hawako serious hawana ma group na kuwatoza let's say 2000/= per person ili kumuweka mtu kwenye group langu. Hii ni mojawapo ya mbinu.
daa!noma xna! na inaumiza kwan ackudanganye m2 kusoma bla boom unaweza kata tamaa ya kusoma! kwanza utakuwa alwayz uko c2recd na saicologcally unaweza fel masom kwan muda wte utawaza wap utoe ada, stationery hasa zktolewa endout na hapo ndo panaumiza!
Ndugu zangu boom is not necessary for survival of a student kwa university. I never had no boom from no government and my folks weren't wealthy but still survived and it rose my anger towards achieving academic excellence and get the hell out of that place. Imagine sometimes you go back home on weekend and your father tells you that he has no money at that time and see your siblings are chased out of school for not paying school fees. Unarudi chuo with nothing in ur pockets lakini kwa kuunga unga unaishi hivyo hivyo till I graduated. Ukizaliwa mwanaume learn how kuvumila shida.
Ndugu zangu boom is not necessary for survival of a student kwa university. I never had no boom from no government and my folks weren't wealthy but still survived and it rose my anger towards achieving academic excellence and get the hell out of that place. Imagine sometimes you go back home on weekend and your father tells you that he has no money at that time and see your siblings are chased out of school for not paying school fees. Unarudi chuo with nothing in ur pockets lakini kwa kuunga unga unaishi hivyo hivyo till I graduated. Ukizaliwa mwanaume learn how kuvumila shida.
hujaelewa nini?
Mkuu mbinu ni nyingi, kikubwa ni kuyasoma mazingira ya chuo husika ili kuumiza kichwa jinsi ya kusurvive. Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikua mpaka nawafanyia watu assignments kwa malipo, au wakati mwalimu ametoa kazi ya group mimi naenda kuchimba naifanya mwenyewe then kama ni group la watu kumi natafuta watu tisa wale ambao hawako serious hawana ma group na kuwatoza let's say 2000/= per person ili kumuweka mtu kwenye group langu. Hii ni mojawapo ya mbinu.
ila ameelewekauandishi wako haufai