Umejiandaje kusoma bila boom.

Nitauza mbuzi wangu 2, sasa nitafanyaje na ninataka kusoma..
 

Kweli mkuu, pamoja sana.
 
wape njia/mbinu ulizokuwa unatumia kusoma ukiwa na hali ngumu na ukata.

Mkuu mbinu ni nyingi, kikubwa ni kuyasoma mazingira ya chuo husika ili kuumiza kichwa jinsi ya kusurvive. Kwa mfano mimi kuna kipindi nilikua mpaka nawafanyia watu assignments kwa malipo, au wakati mwalimu ametoa kazi ya group mimi naenda kuchimba naifanya mwenyewe then kama ni group la watu kumi natafuta watu tisa wale ambao hawako serious hawana ma group na kuwatoza let's say 2000/= per person ili kumuweka mtu kwenye group langu. Hii ni mojawapo ya mbinu.
 

Safi sana
 

great thinker
 

Unaenda kusomea kozi gani? Maana maandishi yako yanatatanisha!!
 

Emu tupe hizo njia mkuu ulizosurvive nazo ..manake nasikia wengine huwa wanasodoka
 



hongera kwa kutokuwa na mpango wa kukwepa kulipa deni la heslb!
Kaka tunatofautiana sana, wapo watu wanatoka ktk mazingira yanayoumiza! mfano nmesoma shule za gvt Mbeya sec na Azania na kote nmekutana na wana wasiojua kulipa ada kutokana na kukosa pesa. Vipi akose boom, atajiaccomodate vp, gharama za stationery, nauli na ada pia?, achilia mbali luxuries ambazo hazna umuhim.
Ww ulisomaje?

Ahsante
 

salute mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…