Umejifunza au ulijifunza jambo gani kipindi unapopitia au ulipopitia nyakati ngumu maishani mwako?

Umejifunza au ulijifunza jambo gani kipindi unapopitia au ulipopitia nyakati ngumu maishani mwako?

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Habari za muda huu wapendwa.

Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.

Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako.

Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa, lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.

Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.

NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.
 
Habari za muda huu wapendwa.....,...

Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.....

Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako......

Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa......lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.......

Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.........

NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.................
Ulifukuzwa kaz ukiwa umeoa?
 
K
Habari za muda huu wapendwa.....,...

Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.....

Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako......

Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa......lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.......

Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.........

NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.................
Kwenye kutoa ndo heshima ya mwanaume ipo hapo.
 
Habari za muda huu wapendwa.....,...

Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.....

Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako......

Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa......lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.......

Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.........

NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.................
Nimejifunza ustahimilivu katika nyakati zinazokuja kwenye maisha yetu na kutuletea matokeo hasi ambayo ni kinyume na matarajio hivyo inatupasa kujifunza pia kusimama wenyewe kwenye nyakati hizo.
 
Habari za muda huu wapendwa.....,...

Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde.....

Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako......

Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka unajuta kuzaliwa......lakini kila nyakati tunazopitia kwenye maisha zinabeba ujumbe na mafunzo ambayo unaweza kunufaika kwayo siku za mbeleni.......

Si vibaya kama uta share baadhi matukio ya nyakati hizo zilizokufanya ujifunze mambo mengine ya msingi.........

NB;
Mimi binafsi nilipofukuzwa na kazi na kuishi maisha ya dhiki ndio nilijifunza kuwa thamani ya mwanamume kwenye jamii, ndoa au hata familia ipo kwenye kutoa.................



Unapopitia nyakati ngumu unabidi kutumia Gratitude Kama therapeutic Kama tiba ya AKILI ambayo itakupa well being kuondoa negative emotions into positive emotions

Pia kiroho unbidi kutumia hiyo hiyo Gratitude .

Nyakati zozote ngumu huwa zinakuja na baraka au neema endapo ukatumia Gratitude POWER.

Ukipoteza kazi
Ukiacha /ukaachwa
Ukifirisika
Ukiumizwa
Ukitengwa
N.k

Tumia Gratitude utaona mabadiliko makubwa Sana katika MAISHA yako.

Tatizo libapotokea huwa linaweza kumgawa MTU katika sehemu mbili -Survivor au victim

Sasa unabidi unapopata tatizo mfano kufukuzwa kazi (kuwa fired ) kuumizwa ,kuibiwa n.k tumia gratitude then samehe ukifanya hivyo utakuwa survivor na sio victim.

Pia hisia mbaya huwa zinatabia ya kukufata ndo ile hali utasikia MTU anakuambia ameandamwa na matatizo.

Ilia hisia hasi zisikufate kila ukijisikia down ebu ichunguze hiyo hisia imetoka wapi then Fanya gratitude.

Ukijikita katika kulaumu ,kulalamika basi utaendelea kuvuta wave au mawimbi ya hali Kama hiyo.
 

Attachments

  • criadormaloka-cor-1713531861939.jpeg
    criadormaloka-cor-1713531861939.jpeg
    55.8 KB · Views: 24
Back
Top Bottom