GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ila siyo wote mkuu.Watu hawana huruma..
Ni kweli! Wengi wanaangalia jinsi ya kujinufaisha kupitia kwako. Wanachokihitaji kwako "kikiisha", usishangae na thamani yako kwao ikapungua kama siyo kuisha kabisa.Watu wengi wapo kwa ajili ya kitu...
✅🙏Mimi na maisha yangu...[emoji1787]
Napenda hapo tu...
Mrefu kama Dunia na matukio yake yasiyokwisha...Ni mrefu sana unaweza toka dom to dar unauplay na ukafika bado haujaisha.
Mrefu kama Dunia na matukio yake yasiyokwisha...
😀Ni mrefu sana unaweza toka dom to dar unauplay na ukafika bado haujaisha.
Hukumu ni ya Mungu...Nikuulize swali gumu lakini jepesi, kama hutajali!
Unauhukumuje uamuzi wa mke kutenda dhambi ili mume wake asaidiwe?
Uko sahihi, huu wimbo unagusa mapito watu wanayopitia na changamoto wanazokutana nazo ili kuvukaUkipitia majaribu kwenye maisha huu wimbo utauelewa saana
Tushirikishe moja kubwa ulilolipata.Hakika ila una funzo zuri sana
Dunia haina huruma, kuna muda unahatarisha maisha yako kwa ajili ya wengine lakini hawatoliona hilo. Binadamu wengi tupo vizuri kuhesabu mabaya ya watu na kuhukumu.Tushirikishe moja kubwa ulilolipata.
Naamini wewe si miongoni mwao, kadhalika na mimi pia.Dunia haina huruma, kuna muda unahatarisha maisha yako kwa ajili ya wengine lakini hawatoliona hilo. Binadamu wengi tupo vizuri kuhesabu mabaya ya watu na kuhukumu.