Umejifunza nini kwenye Simba Super Cup

Wakicheza hivi na kubadilisha izo chance na kuwa magoli watafika mbali sana.
Hivi unafkiri mazembe champions league huwa wanacheza hvyo mkuu?

Chekundu happy mkuu, wajinga ndio waliwao
 
Nimeshangazwa Sana hadi wanaume pale uwanjani nawao walikuwa wanaimba wimbo wa Sukari huku wakilamba......naomba msaada kama ule wimbo unawahusu na Wanaume pia
 
Simba amechukua kombe alilolianzisha
 
Corona umeisahau sio?
 
Simba kwa sasa ina wachezaji wanaopigania namba na kwa kuwa ni hivyo basi contribution yao uwanjani ni kubwa na hakuna kutegea maana ukizembea kucheza wenzako wataitumia fursa hiyo.
Ninachoshauri ni kwamba Simba itoke kwenye more entertaining football playing kwenda kuwa more clinical football playing dhidi ya adui yaani wawe watu wa kutafuta mpira uende wavuni zaidi kuliko kuburudisha maana huko Africa kinachotazamwa ni nani ametumia nafasi za kuscore zaidi sio aliyechezea mpira zaidi.

Simba ni wazuri ,hakuna ubishi
 
Hivi unafkiri mazembe champions league huwa wanacheza hvyo mkuu?

Chekundu happy mkuu, wajinga ndio waliwao
Kwani mwaka juzi kwenye champion League tulitoka nao ngapingapi? Hapa bongo
 
Kwa ulinwengu wa sasa wa digital huwezi kuficha mbinu ,hao wote kama kina Al Ahly zao zinaendelea na zipo live sasa mbinu wamezificha wapi,cha msingi ni kuwa na wachezaji wazuri na wenye ari ya kutafuta na kubadili matokeo
 
Tulieni tuwatafutie Nafasi ya viti maalum Nyau nyie.
 
Ubisha vitu vya kijinga sana bisha shaka hizo ndo story unayokesha nayo kijiwe kubishana hadi siku inapita
 
Chief umeongea kitu ambacho hata mm kinanikera sana, chkulia game al hilal, wenzetu ktk zile nafas chache walipata unaona kabisa wanataka goli... sis tunafurahia kucheza na mbwembwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…