Umejifunza nini ndani ya mwaka huu

Mejifunza, kuwa watu wanaowahi sana kutoka nyumbani asubuhi na kuchelewa kurudi nyumbani jioni ...kwenye miji/familia yao kuna kitu hakiko sawa
Tufanunulie kwann inakuwa hivyoo
 
Maneno kuntu
 
Tufanunulie kwann inakuwa hivyoo
Hii ntaifanyia kazi kwa mwaka ujao, kisha ntarejea na jibu, yabidi niongee nao sasa kuna baadhi ya vitu huwa ni sirii hadi muhusika apende kusema
 
Nimejifunza kwamba "In the end, nothing in life matters at all." "Life is meaningless, sisi binadamu kushupaza mafuvu yetu ndiyo tunafanya life kuwa complicated".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…