Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Inabidi kujipanga hata kwa kile kidogo kilichopoMaisha ya mtanzania magum sana kila kona tozo tuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi kujipanga hata kwa kile kidogo kilichopoMaisha ya mtanzania magum sana kila kona tozo tuuu
Utapitia kwa mangi hapo jiraniNaomba mchaga mmoja aje anipe mbinu za kusave nauli ya december....😔
eneo mkuuTumekodi apartment (it's basically a hotel) moja iko karibu na mto lengo likiwa ni kuvua samaki na kuwachoma jioni. Nimependa chumba, jiko na sebule. Chumba kina dirisha linalolingana na ukuta wake wote unaotazama mto. Kuna michezo ya tennis, volleyball and golf pia. Wana bustani ya mboga na matunda pia. I love their landscaping and grassy knoll. I also love their fowls. Wamefuga ndege wengi sana. Shida ni ngedere tu. Usipokuwa makini wanaiba chakula usipofunga madirisha ya jikoni.
Nipe location tafadhal, nikajipumzikie na mama watoto na our son, maisha ni hayahayaTumekodi apartment (it's basically a hotel) moja iko karibu na mto lengo likiwa ni kuvua samaki na kuwachoma jioni. Nimependa chumba, jiko na sebule. Chumba kina dirisha linalolingana na ukuta wake wote unaotazama mto. Kuna michezo ya tennis, volleyball and golf pia. Wana bustani ya mboga na matunda pia. I love their landscaping and grassy knoll. I also love their fowls. Wamefuga ndege wengi sana. Shida ni ngedere tu. Usipokuwa makini wanaiba chakula usipofunga madirisha ya jikoni.
Majanga hayo umeyatafuta mwenyewe, ulishaona wapi tajiri duniani (list ya 'forbes') ana mke zaidi ya mmoja? Ukianzisha uhusiano mwingine, vunja ule wa mwanzo. Kama unaweza kuwafurahisha wote inabidi ufanye kazi ya ziada; ingawa katika nafsi zao wanakuwa na kisasi.samahani kwa kuingilia mada
..kwa sisi wenye wapendwa yaan tuko in relation na demz more than1 nasisi tujipange kuumaliza huu mwaka na hawa mabeb zetu?? yaan kuwalizisha hao wote?? mmmhh weeeee bia tam,
nimejipanga kujifuraisha me mwenyewe, mwaka nitauaga mwnyewe kama nitakuwa hai.....
Wengi wanafikiri maisha ni sehemu ya kupatia uzoefu, bila kujua maisha ni yale unayoyaishi hayaitaji uzoefu. Unaishi mara moja, na pia utakufa mara moja. Kila kitu kina umuhimu wake.watu weng hasa black people wanaangamia kwa kukosa maarifa.
hata Mungu wa dini anasema kupitia maandiko mnayokesha kusoma kuwa kawapen dunia muitawale na kuicontrol, sasa kama ninyi muda wote mko kazn mnapata wapi muda wa kuyacontrol mazingira na kuyainjoy? dhambi zingine ni kujitakia tu, siku umekufa unakuta list ya mabaya yako dunian kuwa haukutii amri ya Mungu kwa kutoenjoy vzr.
alie waloga kafa, mim hata mashulen na machuo sikupenda kusoma ile ya kujiumiza, maana nljua kila jambo lifanywe kwa kiasi, na kubwa kulko dunian sis ni wapitaji yaan wasafir ambao mnatakiwa kuzimaliza bata&raha zote za dunia hii.
sasa kama utakomaa na iyo mikazi yako kutwa kucha, hayo mengine utafanyaga lin?? ndyo maana mnawai kufa na kupata magonjwa ya ajabu sabb hamtaki kuzfuraisha roho&nafsi zenu hapa dunian.
umepata nafasi ya kuinjoy ukiwa hai, kula bataaa baba, kula bata mama, kula bata dada&kaka mbingun&jehanam hakuna bata kule zaid ya kichapo/kusifu&kimba[emoji23][emoji23].
bata iliwe haswaa, kula bata as if unakufa kesho, kula bata maana yake ni ufurahie raha za dunia kama vile, kutembelea mazingira&wanyama, kula&kunywa vyakula ambavyo hujala/hujawai kula, na mengi ya kufuraisha,
wapuuzi wachache wanafananisha kula bata na tabia mbaya kama ulevi&uzinz hao wote wapuuzwe,
fanya kazi sana lkn usisahau kula bata, kuleni bata jmn,
mm huu mwaka mipango yangu ni kuzunguka majiji yote ya Tz, na tyr nmemaliza majiji4 , bado 2 tu[emoji23][emoji23][emoji23], mabeby zangu wana raha eh.
Pako full. Out of the country. Booking and payment deadline huwa ni 1st May.Nipe location tafadhal, nikajipumzikie na mama watoto na our son, maisha ni hayahaya
Pako full. Out of the country. Booking and payment deadline huwa ni 1st Mayeneo mkuu
may be na sisi sometimes tutaenda kutia barka pia
Utatumia kufuatana na kipato chako, si mpaka uwe na salio kubwa.Maji ndoo1 sh 100
Bando sh500
Sabuni ya kipande sh200
kitambaa sh 500
If you know what I mean.
Pambana uipate, angalau ufurahie kuwepo duniani"...kuna pesa naisikiliziaaa!" maisha haya🙁
Yes hapo kwenye unyonyaji ndy Pana tatizo..mtu mweusi na muhindi wakipata cheo huwanyonya sn walio chiniKila kitu kinawezekana mkuu, inategemea na uongozi wa kampuni kama watatoa bonus kwa wafanyakazi si mbaya. Hili jambo linategemea na utashi wa boss husika, unavyompumzisha mtu unatakiwa pia umpatie namna ya kujikimu siku mbili tatu; na nina uhakika huyu mfanyakazi atakaporudi atakuwa na morali ya kufanya kazi vizuri zaidi. Tatizo tulilonalo sisi weusi pamoja na wahindi, mifumo yetu mingi ni ya kinyonyaji, tuko tayari mtu afanye kazi masaa 24/7 kwa ujira mdogo
Hayako fair piaKwa kifupi mleta mada hayo uliyoongea mwafrika hayamuhusu
nimetoka kutafakari muda si mrefu,Jana nilikesha nikatoka asubuhi jamaa alipokuja kunitoa shift yangu ya usiku ,nikasepa home mida ya saa mbili asubuhi nikiwaacha makuli wanabeba mizigo.Nikarudi kazini kuelendelea na night shift yangu ilikuwa mida ya saa moja usiku nawakuta makuli walewale ndy wanamalizia kubeba mizigo kisha wagawane hela saa mbili usiku..nilikaa chini nikasema yaani hawa jamaa wameanza kubeba mizigo saa moja asubuhi,Mimi nikaenda kulala narudi usiku bado nawakuta wanabeba Tu alafu kwenye mgao unakuta mtu anapata elfu 20 dah!!
Maajabu hawa jamaa ukiwaambia kuanzia tarehe 24 Hadi Hadi tarehe 2 January hakuna kazi tunaenda Kula sikukuu wanapiga sn kelele kwmb wataishi vp kipindi chote hiko cha wiki moja!!
Yani mtu mweusi duniani anateseka na mbinguni akifika unakuta anahesabiwa makosa alafu unakuta anaenda motoni [emoji23]..kuna muda maisha unaweza Kusema hayana maana yoyote Kwa hii race yetu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app