Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Chrismas bado mwezi mmoja na ushee!
Kuna watakaotaka kusafiri kwa magari yao wakawaringishie ndugu zao Moshi!
Kuna wanaoenda mbugani kuona wanyama!
Kuna watakaotaka kutalii tu kiujumla!
Kuna wengine ndio watwaita ndugu na jamaa wale na wanywe pamoja.
Kuna wengne ndio wanajitayarisha kwa sherehe kubwa ya kuzaliwa Mwokozi wa wadhambi duniani.
Yoote hayo yanahitaji fedha za kutosha .
Je wewe umejitayarishaje?
Utoto kwako, kwa wengine ni planned big business.Utoto huu
Mtu mzima anayesomesha watoto wanne feza Hana Muda wa kuwaza utoto Kama huu
Nunua kabisa maharage ya Xmas mkuu, yatapanda bei.Utoto huu
Mtu mzima anayesomesha watoto wanne feza Hana Muda wa kuwaza utoto Kama huu
Kwanini asiwaze? Yan we muhaya unajikutaga kinyamaa yanUtoto huu
Mtu mzima anayesomesha watoto wanne feza Hana Muda wa kuwaza utoto Kama huu
Asante mkuu.Kwanini asiwaze? Yan we muhaya unajikutaga kinyamaa yan
Sasa kwa taarifa yako hao wa Feza na maboss wenzao uchumi wa kati washaanza kuplan na kubook hotel for December/ christmas vacay.
Vacay au vacation!??Kwanini asiwaze? Yan we muhaya unajikutaga kinyamaa yan
Sasa kwa taarifa yako hao wa Feza na maboss wenzao uchumi wa kati washaanza kuplan na kubook hotel for December/ christmas vacay.
Kifupi mkuu/ swaga tu… mbona unapenda ku complicate mambo 🤣🤣Vacay au vacation!??
Tuko bize na maji! Mbwa we hizi thread za kitoto hizi utavaa deraChrismas bado mwezi mmoja na ushee!
Kuna watakaotaka kusafiri kwa magari yao wakawaringishie ndugu zao Moshi!
Kuna wanaoenda mbugani kuona wanyama!
Kuna watakaotaka kutalii tu kiujumla!
Kuna wengine ndio watwaita ndugu na jamaa wale na wanywe pamoja.
Kuna wengne ndio wanajitayarisha kwa sherehe kubwa ya kuzaliwa Mwokozi wa wadhambi duniani.
Yoote hayo yanahitaji fedha za kutosha .
Je wewe umejitayarishaje?
Kama huna helo njoo ukope kwa masharti nafuu, na maji unapata!Tuko bize na maji! Mbwa we hizi thread za kitoto hizi utavaa dera
Hello au hela? Rekebisha hapio we shogaKama huna helo njoo ukope kwa masharti nafuu, na maji unapata!
Msambwanda wako tu.
Watoto mliozaliwa Mwananyamala hamjifichi.Hello au hela? Rekebisha hapio we shoga
Wana stress ya maji, stress ya mfukoni🙄Asante mkuu.
Kuna watu wana mentallty ya planning for failures!