Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Najua wanawake especially wasichana wapo vizuri Sana kwenye hili.Hawa viumbe Wana uwezo wa kukariri number za simu kama Mia hivi kwenye vichwa vyao bila shida yoyote.Yaani anaweza akakutajia hizo number off- head bila kurefer popote.
Kimbembe kipo kwetu wanaume Sasa.Binafsi siwezi kariri number zaidi ya 5 kwenye kichwa changu.Imagine nimekariri number 4 tu kwenye kichwa changu.Ya maza, dada yangu mdogo,ya rafiki yangu mmoja na ya mchumba wangu.Baasii!
Aibu inakujaga pale mtu anapokuja kuniomba number ya dingi wangu afu kwa Bahati mbaya niwe Sina simu.Hiyo number walae ataenda kutafuta kwingine maana hapo nitakuwa nimechemka siwezi msaidia kbsa.Naye baba yangu najua hajakariri number zangu kichwani mwako.
Shida nyingine kubwa Sana Ni pale mtu anapoenda sehemu ya mbali na nyumbani afu kwa bahati akakutwa na tatizo kubwa ambalo linahitaji kutatuliwa na watu wa nyumbani.Ukute mhusika Hana simu na Wala hajakariri number yoyote hata Moja ya watu muhimu tuseme wazazi,ndugu jamaa na marafiki.Huyu Sasa maybe atokee msamaria mwema tu amsaidie Vinginevyo......
Jamani especially wanaume tujitahidini katika kukariri number za simu za watu walio muhimu Sana kwetu( wazazi,ndugu na marafiki) bila ya kufanya reference kwenye simu zetu.Hili litatusaidia Sana coz kuna muda tutazikosa simu zetu mikononi mwetu.
Ahsanteni.
Kimbembe kipo kwetu wanaume Sasa.Binafsi siwezi kariri number zaidi ya 5 kwenye kichwa changu.Imagine nimekariri number 4 tu kwenye kichwa changu.Ya maza, dada yangu mdogo,ya rafiki yangu mmoja na ya mchumba wangu.Baasii!
Aibu inakujaga pale mtu anapokuja kuniomba number ya dingi wangu afu kwa Bahati mbaya niwe Sina simu.Hiyo number walae ataenda kutafuta kwingine maana hapo nitakuwa nimechemka siwezi msaidia kbsa.Naye baba yangu najua hajakariri number zangu kichwani mwako.
Shida nyingine kubwa Sana Ni pale mtu anapoenda sehemu ya mbali na nyumbani afu kwa bahati akakutwa na tatizo kubwa ambalo linahitaji kutatuliwa na watu wa nyumbani.Ukute mhusika Hana simu na Wala hajakariri number yoyote hata Moja ya watu muhimu tuseme wazazi,ndugu jamaa na marafiki.Huyu Sasa maybe atokee msamaria mwema tu amsaidie Vinginevyo......
Jamani especially wanaume tujitahidini katika kukariri number za simu za watu walio muhimu Sana kwetu( wazazi,ndugu na marafiki) bila ya kufanya reference kwenye simu zetu.Hili litatusaidia Sana coz kuna muda tutazikosa simu zetu mikononi mwetu.
Ahsanteni.