Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Za afya, binafsi napendelea kunywa uji wa ulezi na viazi vitamu. Siku zingine nakula majani chuku chuku ya maboga, matunda kidogo au maharagwe chuku chuku!
Kwa leo nimekula majani chuku chuku ya maboga na maharagwe chuku chuku kidogo kama breakfast, plus maziwa kiasi!
Karibuni tu share!
Kwa leo nimekula majani chuku chuku ya maboga na maharagwe chuku chuku kidogo kama breakfast, plus maziwa kiasi!
Karibuni tu share!