Umekula tunda gani leo?

[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Nimekuwa najitahidi kula matango mawili KILA SIKU. Huwa nakatakata nakula au natengeneza juice ya tango naweka na Tangawizi/ limao kidogo.
 
Nimekuwa najitahidi kula matango mawili KILA SIKU. Huwa nakatakata nakula au natengeneza juice ya tango naweka na Tangawizi/ limao kidogo.
Tango ni zuri sana kwa kukata weight
 
Ninakula machungwa sana, kila siku.
 
Please jaribu iko poa sana..ukishamenya nanasi liloweke kwenye chombo chenye maji yenye chumvi kiasi kama dakika 5,10 kisha kula
Sawa mkuu ngoja mida nipandishe zangu sokoni nikachukue nanasi nifanye kama unavyosema hili nione hali ikoje likinishinda nitalipika kabisa mixka naweka na viungo alafu ntakula kama mboga[emoji14][emoji14]
 
Sawa mkuu ngoja mida nipandishe zangu sokoni nikachukue nanasi nifanye kama unavyosema hili nione hali ikoje likinishinda nitalipika kabisa mixka naweka na viungo alafu ntakula kama mboga[emoji14][emoji14]
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi Niko nakula ugali dagaa na parachichi
Hii parachichi nimenunua si kwa kupenda nimenunua ili ugali ushuke kwa hiari..! Hiki kinaitwa chakula Cha mchana
Huu uchumi wa Kati kupata mlo wa mchana Ni vigum

Mitano tena.
 
Yan acha tu ila ngoja nijaribu nione testi yake mana kila siku tunajifunza japo tumemaliza shule
Ndo pale husemwa elimu haina mwisho,ukishakata vipande ukiona tabu kuliloweka kwenye maji chumvi basi chukua chumvi nyunyuzia nyunyuzia kwa juu kama unavyonyunyuzia kwenye nyama choma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…