Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kitu Cha tikitiš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na rafiki yangu wa kushibana, chake ni chetu na changu ni chetu!Na nani?
ššHapo kwenye imani niko vizuri sijavimbiwa Doctor! Na Bado mwili unadai niendelee kula tu ila meno hayana ushirikiano kabisaš¬. Thank youNi tunda la msimu kula tani yako..hakuna shida kiafya lakini kiimani tunafundishwa kuwa na KIASI kwenye kila kitu...Madhara mengine labda kuvimbiwa[emoji23]
Mimi nimekula tunda la kati pale. Ni tamu sana hilo tunda.Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na kwa uchache zaidi wale wanaotambua umuhimu wa matunda mwilini kiafya. Wengi wetu humaliza mpaka wiki bila kula hata kipande kimoja cha tunda lolote.
Wengi huwa hawali matunda mpaka waandikiwe na daktari kama sehemu ya tiba. Kwao kula tunda ni sehemu ya anasa na kupoteza pesa..
Matunda yana faida kubwa mwilini kiafya kuliko hata nyama. Matunda ni sehemu muhimu ya tiba. Matunda ya uwezo wa kukujenga kiafya na kukukinga na maradhi mengi. Ni afadhali mara mia ukala matunda ya buku kuliko kula mchemsho wa buku 2 Matunda ni tiba ya magonjwa mbalimbali.
Matunda ni sehemu muhimu ya tiba mbadala na ujenzi wa mwili imara na wenye nguvu.
Baadhi yetu hupendelea shurubati zaidi kuliko matunda yenyewe. Ni sawa pia lakini shurubati isiyo halisi inakuwa imechanganywa na vionjo vingine hivyo kupunguza kwa kiasi fulani nguvu ya kutenda.
Huu ni ushauri wangu kwako pamoja na kunywa maji mengi na kupangilia milo yako lakini usisahau kitu hiki muhimu sana TUNDA. Jitahidi kupata kipande cha tunda kwenye kila mlo wako..kuna siku utanikumbuka na kunishukuru kimoyomoyo
Je, umekula tunda gani leo?
Kipande tu FS, labda kama unakula matunda tofauti..pata kipande cha nanasi, kipande cha embe, ndizi moja/kipande nk....pia kula sana mbogamboga, usisahau bamia na nyanya chungu kwa afya ya naniliu[emoji39][emoji39]Ahsante kwa ushauri mzuri na kutukumbusha! Je ukila nanasi lile kubwa zima ni vizuri kiafya ama nimejioverdose? Maana nimekula hadi meno yanauma hapa[emoji16]
ššYaani sijaamini kama ndiyo namalizia kipande cha mwisho cha nanasi zima kubwa! Lilikua poa sana tatizo meno sasašāāļø[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we upo ka mm uwa naligonga peke angu mpk amu iniishe ila nikimaliza mimeno yote miganzi
Tikiti maji na nguvu za kiumeKitu Cha tikiti[emoji525]
Ahsante Eli ntazingatia hayo ila umesema bamia na nyanya chungu ni kwa afya ya nini?.. sipendi mabamia! Ila nyanya chungu poa š¤Kipande tu FS, labda kama unakula matunda tofauti..pata kipande cha nanasi, kipande cha embe, ndizi moja/kipande nk....pia kula sana mbogamboga, usisahau bamia na nyanya chungu kwa afya ya naniliu[emoji39][emoji39]
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Na rafiki yangu wa kushibana, chake ni chetu na changu ni chetu!
Mganga Mshana atakupa dondoo za faida za bamia na mlenda kwa afya ya naniliu[emoji39][emoji39][emoji39]Ahsante Eli ntazingatia hayo ila umesema bamia na nyanya chungu ni kwa afya ya nini?.. sipendi mabamia! Ila nyanya chungu poa [emoji848]
Hatuna mipaka wala, na hii imetusaidia wenzetu wamekuwa pia marafiki wa kushibana[emoji39][emoji39][emoji39]Mpaka[emoji160][emoji2960][emoji848][emoji851][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
šnaniliu ndiyo nini tena haya ngoja Doctor apite hapa nipate maujuziMganga Mshana atakupa dondoo za faida za bamia na mlenda kwa afya ya naniliu[emoji39][emoji39][emoji39]
Bamia ni mboga maarufu hapa Tanzania, na watu wengi wamekuwa wakiichukulia mboga hiyo kama ya watu wenye uwezo mdogo kiuchumi. Sasa leo yafahamu magonjwa yanayoweza kutibika kwa kula bamia.Mganga Mshana atakupa dondoo za faida za bamia na mlenda kwa afya ya naniliu[emoji39][emoji39][emoji39]
Ni tunda kwakuwa ni mature ovary of a flower which make a fruit.Pilipili si ni Tunda? Basi nakula tunda kila siku