www19
Senior Member
- Apr 29, 2020
- 140
- 205
😆😆Ahsante kwa ushauri mzuri na kutukumbusha! Je ukila nanasi lile kubwa zima ni vizuri kiafya ama nimejioverdose? Maana nimekula hadi meno yanauma hapa😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆Ahsante kwa ushauri mzuri na kutukumbusha! Je ukila nanasi lile kubwa zima ni vizuri kiafya ama nimejioverdose? Maana nimekula hadi meno yanauma hapa😁
Ndio tunda gani hilo?
Umenipiga changa la machoKanda ya ziwa zinaitwa sungwi,huko pengine zinaitwaje?
www.jamiiforums.com
Sina Uzi kabisa jf
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Kiumbwe mwenye afya na nguvu kuliko wote ulimwenguni, Simba, hali matunda wala mboga. Sijui hili tunalizungumziaje.
View attachment 1708746
... simba mla nyama akiwa vitani na twiga wawili walioshiba majani na matunda.
Kiumbwe mwenye afya na nguvu kuliko wote ulimwenguni, Simba, hali matunda wala mboga. Sijui hili tunalizungumziaje.
View attachment 1708746
... simba mla nyama akiwa vitani na twiga wawili walioshiba majani na matunda.
Duu, simba yuko sokoni anakula apples... atakuwa simba wa kufugwa