24 Megapixel
Senior Member
- Mar 2, 2019
- 149
- 328
Heri ya Pasaka ndg zangu wana JF
Bila shaka wote ni miongoni mwa watu tunaotumia sana mitandao ya kijamii kuwasiliana
Mitandao hii inachangamoto lukuki, mitandao hii imevunja mahusiano (ndoa za watu), mitandao hii imesababisha watu mda huu wapo jera (kwa kutapeli, kupost picha za utupu) nk
Japo na faida zipo pia, kuna watu wanapiga pesa kupitia mitandao hii mfano Youtube, Blogs nk,, Kuna watu wamepata wenza kupitia hii hii mitandao
Mimi changamoto nyingi nakumbana nazo FACEBOOK, mtu kapost msiba unashangaa post ina like 100 na kuendelea, ndo nabaki kusikitika ina maana kuna watu wanapenda msiba???
FACEBOOK hiyo hiyo unakuta mtu kashare picha ya mdada fulani kavaa ovyo harafu post inasomeka share nikupe namba zangu tuchat, Mara nina nyenge nataka mtu wa kuzitoa na unashangaa jamaa kweli kashare
Kwenye kushare hapo hapo unakuta mtu kashare picha ya mtu kakatwa katwa sijui mapanga sijui visu picha inatisha harafu jamaa kaandika usipite bila kusema AMEN, hawa wote mimi huwa nawa-unfriend??
Wewe pia unaweza kujazia ni changamoto gani unakumbana nazo kwenye hii mitandao, mimi nimeeleza kidogo ya FACEBOOK!
HERI YA PASAKA
Bila shaka wote ni miongoni mwa watu tunaotumia sana mitandao ya kijamii kuwasiliana
Mitandao hii inachangamoto lukuki, mitandao hii imevunja mahusiano (ndoa za watu), mitandao hii imesababisha watu mda huu wapo jera (kwa kutapeli, kupost picha za utupu) nk
Japo na faida zipo pia, kuna watu wanapiga pesa kupitia mitandao hii mfano Youtube, Blogs nk,, Kuna watu wamepata wenza kupitia hii hii mitandao
Mimi changamoto nyingi nakumbana nazo FACEBOOK, mtu kapost msiba unashangaa post ina like 100 na kuendelea, ndo nabaki kusikitika ina maana kuna watu wanapenda msiba???
FACEBOOK hiyo hiyo unakuta mtu kashare picha ya mdada fulani kavaa ovyo harafu post inasomeka share nikupe namba zangu tuchat, Mara nina nyenge nataka mtu wa kuzitoa na unashangaa jamaa kweli kashare
Kwenye kushare hapo hapo unakuta mtu kashare picha ya mtu kakatwa katwa sijui mapanga sijui visu picha inatisha harafu jamaa kaandika usipite bila kusema AMEN, hawa wote mimi huwa nawa-unfriend??
Wewe pia unaweza kujazia ni changamoto gani unakumbana nazo kwenye hii mitandao, mimi nimeeleza kidogo ya FACEBOOK!
HERI YA PASAKA