BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Unafanya ngono na hamjafunga ndoa......mbaya
Yaani ni mbaya lakini huo ndo ukweli! Ila kuwa na mpenzi umri huu bila hicho kitu inawezekana kweli? Japo ingekuwa vyema mpaka ndoa sema maisha ya siku hizi yamebadilika..
wanawake msizoe kutumia toys inanyambulisha K zenu.....zinasambaa na kukosa radha
sasa kuleta hilo lidude ni kwamba yeye hataki/hana hamu tena ya ku sex na wewe ndio akaakuamua atumie njia hiyo? ninavyijijua nicngeweza kuvumilia kutokumuuliza, ningemuuliza na anipe jibu la maana halic ya kuniletea hilo dude, kama haiwezekani tena kusex na yeye aniambie kuliko kuniletea ma toy ndani ya nyumba, loo ndoa zina mambo aisee.
...bado sijaona ubaya wa toys, zaweza 'spice-up' mambo kama kina mama wanavyojifukiza udi, chachandu tosha kiunoni, vikuba, asumini kitandani na katika hayo... Ingekuwa Toys zenyewe kaletewa na hawara kweli, lakini kaletewa na mumewe kwa faida ya ndoa yao halafu yeye mbio mitaani kuwatangazia majirani na mashoga, huoni hapo ni kumdhalilisha tu mumewe?
Wanawake wengine bana.
...kutotaka ubunifu ndio kunakosababisha waume zenu kushangaa wakiwa nyumba ndogo, kwakuwa mkewe hajui kuvaa utunda, au hana hata kitaulo/ kileso cha kumfutia mumewe, yeye na shuka tu!
Baada ya miaka kadhaa pamoja, ubunifu mpya kusaidia kuamsha hisia ni bora kuliko kuwa retarded na njia hizo hizo miaka nenda rudi, tena kama ni mkweli wa nafsi, wengi wanaocheat huanza baada ya low sex drive (due so several factors) na kukosekana ubunifu katika tendo la ndoa ili kujikumbushia ashki zileeeeeeeee za mwaka 47!
Mshauri ajaribu na radha ya TG nayo itaongeza mapenzi.
View attachment 3931
...ulalaji wenu ni uthibitisho tosha juu ya ubora/udhaifu wa mahusiano yenu!
ni juu yako kuzidi kujenga, au kuendelea kubomoa,
shauri yako! π
...yawezekana pia, ila kwa posse hizi za kulala waweza jua mwelekeo wa 'uchumba' kabla hujajitumbukiza kwenye pingu ya maisha vile vile π
Kwani wachumba huwa wanalala pamoja? Mie nalidhani mpaka mtakapooana ndo waruhusiwa. Nina mashaka kama hutadokoa mboga ingali jikoni kama utaendeleza kulala pamoja na mchumba wako! Au ndo mambo ya SHAKE WELL BEFORE USE?? Tehetehetehheh!
Ukweli ni kwamba wanawake wengi wakishaolewa wanajisahau sana katika suala zima la kuwa wabunifu katika kudumisha ndoa zao;kwasababu kila wakati unarudia mambo yaleyale ambayo yamekwisha zoeleka.Hapo ndipo nyumba ndogo zinapopiga bao nyumba kubwa;wanachofanya ni kucheza na huo udhaifu iliopo....bado sijaona ubaya wa toys, zaweza 'spice-up' mambo kama kina mama wanavyojifukiza udi, chachandu tosha kiunoni, vikuba, asumini kitandani na katika hayo... Ingekuwa Toys zenyewe kaletewa na hawara kweli, lakini kaletewa na mumewe kwa faida ya ndoa yao halafu yeye mbio mitaani kuwatangazia majirani na mashoga, huoni hapo ni kumdhalilisha tu mumewe?
Wanawake wengine bana.
...kutotaka ubunifu ndio kunakosababisha waume zenu kushangaa wakiwa nyumba ndogo, kwakuwa mkewe hajui kuvaa utunda, au hana hata kitaulo/ kileso cha kumfutia mumewe, yeye na shuka tu!
Baada ya miaka kadhaa pamoja, ubunifu mpya kusaidia kuamsha hisia ni bora kuliko kuwa retarded na njia hizo hizo miaka nenda rudi, tena kama ni mkweli wa nafsi, wengi wanaocheat huanza baada ya low sex drive (due so several factors) na kukosekana ubunifu katika tendo la ndoa ili kujikumbushia ashki zileeeeeeeee za mwaka 47!
Tanzania hakuna malazi ya aina hiyo hayo mambo hufuatana na tamaduni unachokifanya wewe sasa ni kumuiga tembo kunya Boga hatma yake makalio huchawanyika
...yawezekana pia, ila kwa posse hizi za kulala waweza jua mwelekeo wa 'uchumba' kabla hujajitumbukiza kwenye pingu ya maisha vile vile π
Kwani wachumba huwa wanalala pamoja? Mie nalidhani mpaka mtakapooana ndo waruhusiwa. Nina mashaka kama hutadokoa mboga ingali jikoni kama utaendeleza kulala pamoja na mchumba wako! Au ndo mambo ya SHAKE WELL BEFORE USE?? Tehetehetehheh!
We acha tu tatizo distance btn us mpaka nahisi naibiwa akiwa Tz maana hii style ya kulala amekuja nayo yeye siku moja tu tumekwaruzana hee! nikashangaa ntasha wa nne style. Last year na previous tulikuwa tukimeet na kiu zetu wiki nzima mdundiko labda anikute bungeni.
Sometimes naishia kusema 'kwani imeumbwa kwa ajili yangu peke yangu' kama namna kukata tamaa. Sasa tukioana si mmoja ataingia chini ya uvungu wa kitanda ilhali kuna carpet ataona comfortable zaidi kuliko kitandani.
Ila naamini changamoto ni part of malavi davi,njia nzuri ni kusolve tatizo siyo kulikimbia/epuka.