mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
MUST mbeyaKwaiyo saiv upo chuo gani?
chuo gani....
sawasawa.... usome kwa bidii mashangazi yapo utayakuta....Cha cherehani
AahhhaaaaaUmeanka morning unataka kutoa pesa uliyotumiwa na babe unakuta muamala umerudishwa-- UMELIKALIA
Unataka demu lakini pesa huna -- UMELIKALIA
Unayedhani kuna mapenzi ya kweli -- UMELIKALIA
Umejikuta mataalamu wa kulamba mwiko mpaka kwenye koo umerudishia chenchi juu yake tena dagaa -- UMELIKALIA
Unatafuta kwa tabu alafu unabet -- UMELIKALIA
Unawaza kwamba unaenda mbinguni unachogo limefunikwa na wigi -- UMELIKALIA
Umetuma na ya kutolea ajaja na mundende ushingi umefunga -- UMELIKALIA
Unakunywa supu ya pweza ili uteme wazungu nusu lita -- UMELIKALIA
Kutwa kulike page za udaku mwanaume -- UMELIKALIA
Nilitamani sana kusoma hapoMUST mbeya
Na kiba💯 chake kwa mashangazi atatuaibishasawasawa.... usome kwa bidii mashangazi yapo utayakuta....
Nimelikwepa 😂😂
ubongo wa mende biskuti ya chumaHalf american Mtoto wa nje ya ndoa
Kutwa kushinda unaangalia wasafi TV mwanaume - UMELIKALIAUmeanka morning unataka kutoa pesa uliyotumiwa na babe unakuta muamala umerudishwa-- UMELIKALIA
Unataka demu lakini pesa huna -- UMELIKALIA
Unayedhani kuna mapenzi ya kweli -- UMELIKALIA
Umejikuta mataalamu wa kulamba mwiko mpaka kwenye koo umerudishia chenchi juu yake tena dagaa -- UMELIKALIA
Unatafuta kwa tabu alafu unabet -- UMELIKALIA
Unawaza kwamba unaenda mbinguni unachogo limefunikwa na wigi -- UMELIKALIA
Umetuma na ya kutolea ajaja na mundende ushingi umefunga -- UMELIKALIA
Unakunywa supu ya pweza ili uteme wazungu nusu lita -- UMELIKALIA
Kutwa kulike page za udaku mwanaume -- UMELIKALIA
unamkuta mwanume anasubiria 'refresh' 😂bora akatupe tu kifanyio chake....😂Kutwa kushinda unaangalia wasafi TV mwanaume - UMELIKALIA
🤣🤣🤣Ety mwanaume anasubiri kipind cha udaku.unamkuta mwanume anasubiria 'refresh' 😂bora akatupe tu kifanyio chake....😂
kuna wanaume wanafuatilia macelebrity anajua hadi saa ya mondi ni shingapi 😂 nashangaaga sana....🤣🤣🤣Ety mwanaume anasubiri kipind cha udaku.
Eeeh ni hatari.kuna wanaume wanafuatilia macelebrity anajua hadi saa ya mondi ni shingapi 😂 nashangaaga sana....
Baada ya kuli…..kalia😂😂😂
kalale mzee.... kesho asubuhi na mapema udalali unaendeleaBaada ya kuli…..kalia😂😂😂
mwambie akiona choo ndotoni ashtuke🤣kalale mzee.... kesho asubuhi na mapema udalali unaendelea
Silali nipomagufuri natafuta watejakalale mzee.... kesho asubuhi na mapema udalali unaendelea
Ahaha sasa hapo si nakuona mty mzima umekalia😂😂mwambie akiona choose ndotoni ashtuke🤣