mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
MUST mbeyaKwaiyo saiv upo chuo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUST mbeyaKwaiyo saiv upo chuo gani?
chuo gani....
sawasawa.... usome kwa bidii mashangazi yapo utayakuta....Cha cherehani
AahhhaaaaaUmeanka morning unataka kutoa pesa uliyotumiwa na babe unakuta muamala umerudishwa-- UMELIKALIA
Unataka demu lakini pesa huna -- UMELIKALIA
Unayedhani kuna mapenzi ya kweli -- UMELIKALIA
Umejikuta mataalamu wa kulamba mwiko mpaka kwenye koo umerudishia chenchi juu yake tena dagaa -- UMELIKALIA
Unatafuta kwa tabu alafu unabet -- UMELIKALIA
Unawaza kwamba unaenda mbinguni unachogo limefunikwa na wigi -- UMELIKALIA
Umetuma na ya kutolea ajaja na mundende ushingi umefunga -- UMELIKALIA
Unakunywa supu ya pweza ili uteme wazungu nusu lita -- UMELIKALIA
Kutwa kulike page za udaku mwanaume -- UMELIKALIA
Nilitamani sana kusoma hapoMUST mbeya
Na kiba💯 chake kwa mashangazi atatuaibishasawasawa.... usome kwa bidii mashangazi yapo utayakuta....
Nimelikwepa 😂😂
ubongo wa mende biskuti ya chumaHalf american Mtoto wa nje ya ndoa
Kutwa kushinda unaangalia wasafi TV mwanaume - UMELIKALIAUmeanka morning unataka kutoa pesa uliyotumiwa na babe unakuta muamala umerudishwa-- UMELIKALIA
Unataka demu lakini pesa huna -- UMELIKALIA
Unayedhani kuna mapenzi ya kweli -- UMELIKALIA
Umejikuta mataalamu wa kulamba mwiko mpaka kwenye koo umerudishia chenchi juu yake tena dagaa -- UMELIKALIA
Unatafuta kwa tabu alafu unabet -- UMELIKALIA
Unawaza kwamba unaenda mbinguni unachogo limefunikwa na wigi -- UMELIKALIA
Umetuma na ya kutolea ajaja na mundende ushingi umefunga -- UMELIKALIA
Unakunywa supu ya pweza ili uteme wazungu nusu lita -- UMELIKALIA
Kutwa kulike page za udaku mwanaume -- UMELIKALIA
unamkuta mwanume anasubiria 'refresh' 😂bora akatupe tu kifanyio chake....😂Kutwa kushinda unaangalia wasafi TV mwanaume - UMELIKALIA
🤣🤣🤣Ety mwanaume anasubiri kipind cha udaku.unamkuta mwanume anasubiria 'refresh' 😂bora akatupe tu kifanyio chake....😂
kuna wanaume wanafuatilia macelebrity anajua hadi saa ya mondi ni shingapi 😂 nashangaaga sana....🤣🤣🤣Ety mwanaume anasubiri kipind cha udaku.
Eeeh ni hatari.kuna wanaume wanafuatilia macelebrity anajua hadi saa ya mondi ni shingapi 😂 nashangaaga sana....
Baada ya kuli…..kalia😂😂😂
kalale mzee.... kesho asubuhi na mapema udalali unaendeleaBaada ya kuli…..kalia😂😂😂
mwambie akiona choo ndotoni ashtuke🤣kalale mzee.... kesho asubuhi na mapema udalali unaendelea
Silali nipomagufuri natafuta watejakalale mzee.... kesho asubuhi na mapema udalali unaendelea
Ahaha sasa hapo si nakuona mty mzima umekalia😂😂mwambie akiona choose ndotoni ashtuke🤣