kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Wauni wana namba zao zinaitwa 45 na wengine wana namba zao zinaitwa 32 na wengi atuna namba ila chokoza Nenda kacheki video mjini youtube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chai ushakunywaMambo ya kigaiga
😂😂😂😂😂Ngoma Kali sana mnanda umepata mtetezi wao nimependa pale alipoimba piga makofi Kama sehemu yako ya Siri hapajatumika
🤣🤣🤣kibunge bunge 🤣🤣
Watoto wa 2000 taifa limepata hasara kubwa sana. Matoto yanapenda kuiga upumbavu zaidi kuliko mambo ya msingi.Mambo ya kuigaiga, mnaiga mambo ya South Africa mnà yaketa bongo,