Umemchoka mienendo yake ila unaogopa jamii itakusema ukimuacha

Umemchoka mienendo yake ila unaogopa jamii itakusema ukimuacha

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Hii ndiyo Siri kubwa iliyopo na inayowatafuna wanandoa.Umeoa au umeolewa Kwa harusi yenye mbwembwe kibao huku mmefichiana makucha...kimbembe mmeanza kuishi uliyedhani ni maria mama mtakatifu kumbe ni mwajuma ndala ndefu🤣uliyedhani ni yohana kumbe ni Petro kumkataa yesu mara tatu kabla ya jogoo kuwika.😳

Binadamu hubadilika bhana,tena hubadilika kuwa adui.Sasa watu badala ya kuachana wanaendelea kuvumilia,eti ndoa ya kanisani watu watasemaje au nikimwacha Mali tutagawana.☹️ Wee bhana we...hata ukimwachia vyote ukajinusuru na kesi za mauaji kama mwanza embu mwachie vyote sepa.Nenda kaanze na mkeka.Kwanza kaburini hatuzikwi navyo viache🙄
Watu kuongea ni kawaida,wanaongea yanapita.inakuwa ni kipindi Cha mpigo tu unasemwa wee,wanatulia.

Kuishi na mtu mzima asiyethamini ndoa inahitaji jitihada ya hali ya juu sana.Wewe unajitoa mhanga kuitunza ndoa Yako mwenzio kichwani anawaza hata akiniacha nitapata mwingine.Yaan maana yake alipo bado hajaridhika bado anasafari ndefu.Unamkumbatia hakumbatiki ....mwache aende,usiogope kitu,aibu fedheha tumeumbiwa na ndo maisha yenyewe.Watoto Mungu hulea tu popote ...mbona wengine tumekua ivoivo tu🙄😏🤜
 
Wanawazaga watoto eti!!

Sasa sijui wanajuaga miaka yao ya kusihi duniani hadi ahofie wakiachana watoto wataishije au hawajuagi hata kesho tu anawez kupita hivi hao watoto anaohofia na kupatia tabu wataishije akifa kwa kipigo/msongo wa mawazo/ kuuawa na mwenza.

Kweli kabisa SEPAA.
 
Wanawazaga watoto eti!!

Sasa sijui wanajuaga miaka yao ya kusihi duniani hadi ahofie wakiachana watoto wataishije au hawajuagi hata kesho tu anawez kupita hivi hao watoto anaohofia na kupatia tabu wataishije akifa kwa kipigo/msongo wa mawazo/ kuuawa na mwenza.

Kweli kabisa SEPAA.
Inabidi wawe na mawazo mtambuka Kwa kweli,hata sisi tunaozungumzia ndoa za watu nasi tuna shida kede ila tunagandia matatizo ya wengine
 
Hii ndiyo Siri kubwa iliyopo na inayowatafuna wanandoa.Umeoa au umeolewa Kwa harusi yenye mbwembwe kibao huku mmefichiana makucha...kimbembe mmeanza kuishi uliyedhani ni maria mama mtakatifu kumbe ni mwajuma ndala ndefu🤣uliyedhani ni yohana kumbe ni Petro kumkataa yesu mara tatu kabla ya jogoo kuwika.😳

Binadamu hubadilika bhana,tena hubadilika kuwa adui.Sasa watu badala ya kuachana wanaendelea kuvumilia,eti ndoa ya kanisani watu watasemaje au nikimwacha Mali tutagawana.☹️ Wee bhana we...hata ukimwachia vyote ukajinusuru na kesi za mauaji kama mwanza embu mwachie vyote sepa.Nenda kaanze na mkeka.Kwanza kaburini hatuzikwi navyo viache🙄
Watu kuongea ni kawaida,wanaongea yanapita.inakuwa ni kipindi Cha mpigo tu unasemwa wee,wanatulia.

Kuishi na mtu mzima asiyethamini ndoa inahitaji jitihada ya hali ya juu sana.Wewe unajitoa mhanga kuitunza ndoa Yako mwenzio kichwani anawaza hata akiniacha nitapata mwingine.Yaan maana yake alipo bado hajaridhika bado anasafari ndefu.Unamkumbatia hakumbatiki ....mwache aende,usiogope kitu,aibu fedheha tumeumbiwa na ndo maisha yenyewe.Watoto Mungu hulea tu popote ...mbona wengine tumekua ivoivo tu🙄😏🤜
Binadamu ni binadamu tu,awe mke,mume,rafiki,kaka,dada,mama,baba.sasa kama mke tu anakupa stress unataka kutoka roho,je ukichukiwa na wazazi waliokuzaa,itakuwaje?ni kweli kwenye ndoa Kuna vitu mpaka watu wanatoana roho,Cha msingi ukiingia kwenye uhuaiano wowote,wakati wowote tegemea,"you will be fucked"some one will try to https://jamii.app/JFUserGuide you up"usipotegemea sana mema kutoka kwa watu,hata wakikutenda,hutashangaa!!utaona ni ubinadamu tu,sio maraika hao.
 
Binadamu ni binadamu tu,awe mke,mume,rafiki,kaka,dada,mama,baba.sasa kama mke tu anakupa stress unataka kutoka roho,je ukichukiwa na wazazi waliokuzaa,itakuwaje?ni kweli kwenye ndoa Kuna vitu mpaka watu wanatoana roho,Cha msingi ukiingia kwenye uhuaiano wowote,wakati wowote tegemea,"you will be fucked"some one will try to JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you up"usipotegemea sana mema kutoka kwa watu,hata wakikutenda,hutashangaa!!utaona ni ubinadamu tu,sio maraika hao.
Yeah,umenena
 
Inabidi wawe na mawazo mtambuka Kwa kweli,hata sisi tunaozungumzia ndoa za watu nasi tuna shida kede ila tunagandia matatizo ya wengine
Wengi wetu tusio ndoani sio wanafki huwa tunaongea lililo la kweli na tunaloamini ni suluhu hata kama ni gumu kwa wanandoa.

Lakini mwanandoa ni ngumu kumshauri mwanandoa mwenzie zaidi ya kuzido kutafuta suluhu ambazo mara nyingu hupelekea zogo tu.
Utaskia " Ooh vumilia hata mimi hilo lilinikuta ila sasa yameisha na tunaishi vizuri" kumbe ni uongo mtupu.
 
Katika hali ya kawaida tu ili nafsi yako iwe huru unatakiwa uache tabia ya ku-overthink na kuwa na expectations na mtu

Hata kwenye ndoa,ili mambo yaende unatakiwa kuwa na hizo vitu

Take it easy,ishi
 
Wengi wetu tusio ndoani sio wanafki huwa tunaongea lililo la kweli na tunaloamini ni suluhu hata kama ni gumu kwa wanandoa.

Lakini mwanandoa ni ngumu kumshauri mwanandoa mwenzie zaidi ya kuzido kutafuta suluhu ambazo mara nyingu hupelekea zogo tu.
Utaskia " Ooh vumilia hata mimi hilo lilinikuta ila sasa yameisha na tunaishi vizuri" kumbe ni uongo mtupu.
Anajidanganya mwenyewe
 
1.stuka saa 11 au 12 asbh piganeni Cha asubuhi nyonya maziwa ya mke piga bao maisha yaendelee

2.saa moja oga nenda kazini kale vya kula km NI matunda,kitimoto au bia au konyagi au k vant n.k

3.rudi nyumbani zinguaneni ikifika usiku mkitamaniana peaneni


Ndo maisha

4..ingia jf Mara kwa Mara kutoa stress n.k
 
Back
Top Bottom