Umeme Dumila umekuwa kero iliyopitiliza toka Novemba 2021

Umeme Dumila umekuwa kero iliyopitiliza toka Novemba 2021

Mr Dumila

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2016
Posts
271
Reaction score
537
Dumila ipo Mkoani Morogoro kiukweli hali ya upatikanaji wa umeme ni mbayaa kupitiliza.

Sio kwamba ulikuwa haukatiki kipindi cha mwendazake la hasha ulikuwa unakatika sana tu ila awamu hii imepitiliza

Alipoingia January Makamba hali ndio imezid kubadilika yaani umeme unaweza katika siku 5 mfululizo na ukarudishwa usiku wa saa 5-8 na pakikucha tu umeme haupo

Hatukatai matengenezo maana walisema jua hvyo maji tatizo lakini kwa sasa mvua kila kona ya nchi ila tatizo hili ni Sugu

Waziri Makamba ukiendelea kuwa mpole na kucheka nao hao Tanesco adui wetu tutakuona ni wewe
 
Dumila ipo Mkoani Morogoro kiukweli hali ya upatikanaji wa umeme ni mbayaa kupitiliza.

Sio kwamba ulikuwa haukatiki kipindi cha mwendazake la hasha ulikuwa unakatika sana tu ila awamu hii imepitiliza

Alipoingia January Makamba hali ndio imezid kubadilika yaani umeme unaweza katika siku 5 mfululizo na ukarudishwa usiku wa saa 5-8 na pakikucha tu umeme haupo

Hatukatai matengenezo maana walisema jua hvyo maji tatizo lakini kwa sasa mvua kila kona ya nchi ila tatizo hili ni Sugu

Waziri Makamba ukiendelea kuwa mpole na kucheka nao hao Tanesco adui wetu tutakuona ni wewe
Umeshataja eneo lakini Subiri TANESCO aje aanze kukuuliza umtajie tena eneo.

Kwa kifupi hili shirika ni tatizo kubwa hapa nchini.
 
“Moja kati ya adhabu kubwa ya kukataa kushiriki au kujihusisha na Siasa pamoja na Uongozi ni kwamba Utaishia kutawaliwa au Kuongozwa na watu wenye uwezo Mdogo kuliko wewe”-Plato
EIw0.jpg
 
Mbunge wenu bwana mimacho si yupo ongeeni nae. Morogoro karibu sehemu kubwa ni kero ya umeme nilikuwa Kimamba hali ni mbaya sana. Sijui hii treini ya umeme watatumia umeme huu.
 
Mbunge wenu bwana mimacho si yupo ongeeni nae. Morogoro karibu sehemu kubwa ni kero ya umeme nilikuwa Kimamba hali ni mbaya sana. Sijui hii treini ya umeme watatumia umeme huu.
Hakuna mbunge kuna mpokeaji mshahara tu Maana toka apitishwe tumemuona mara moja tu kipindi cha ziara ya Samia Dumila toka hapo tunamuonea kwenye luninga
 
Dumila ipo Mkoani Morogoro kiukweli hali ya upatikanaji wa umeme ni mbayaa kupitiliza.

Sio kwamba ulikuwa haukatiki kipindi cha mwendazake la hasha ulikuwa unakatika sana tu ila awamu hii imepitiliza

Alipoingia January Makamba hali ndio imezid kubadilika yaani umeme unaweza katika siku 5 mfululizo na ukarudishwa usiku wa saa 5-8 na pakikucha tu umeme haupo

Hatukatai matengenezo maana walisema jua hvyo maji tatizo lakini kwa sasa mvua kila kona ya nchi ila tatizo hili ni Sugu

Waziri Makamba ukiendelea kuwa mpole na kucheka nao hao Tanesco adui wetu tutakuona ni wewe
Tatizo sio makamba tatizo ni bosi mkuu wa makamba kumkalia kimya makamba.
 
Back
Top Bottom