Umeme ni maafa ya taifa- Afrika kusini

Umeme ni maafa ya taifa- Afrika kusini

Matango

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
535
Reaction score
118
Rais wa Afrika ya Kusini ameshalitangazia Taifa hilo kubwa kuwa sasa Umeme umekuwa janga la Taifa na Mamlaka za kushughulikia majanga zimeanza kufanyia kazi hali hiyo ili kulinusuru Taifa hilo kutokana na madhara ya kukosekana kwa umeme.

Hali ni mbaya mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe imechoka, haijapata ukarabati wa kutosha, umeme umekuwa ukitolewa kwa mgao wa kikanda.

Tushukuru Tanzania na Kiongozi wetu Mpendwa Dk Samia hali ni ya utulivu na kila inapotokea changamoto ya umeme hatua zinachukuliwa. Tanzania tumebarikiwa. Hongera sana Dk. Samia kwa Uongozi uliotulia na makini.
 
Rais wa Afrika ya Kusini ameshalitangazia Taifa hilo kubwa kuwa sasa Umeme umekuwa janga la Taifa na Mamlaka za kushughulikia majanga zimeanza kufanyia kazi hali hiyo ili kulinusuru Taifa hilo kutokana na madhara ya kukosekana kwa umeme...
Wenzetu wanachukua hatua, sisi tunaishi na tatizo!
 
Hali ni mbaya mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe imechoka, haijapata ukarabati wa kutosha, umeme umekuwa ukitolewa kwa mgao wa kikanda.

Tushukuru Tanzania na Kiongozi wetu Mpendwa Dk Samia hali ni ya utulivu na kila inapotokea changamoto ya umeme hatua zinachukuliwa. Tanzania tumebarikiwa. Hongera sana Dk. Samia kwa Uongozi uliotulia na makini.
Umetumwa
 
Tabaka la juu wanajichotea tu mihela
 
Ile nchi bila mzungu Congo ingekuwa afadhari, mtu mweusi ni issue, mi naona tuwakabidhi tuu wazungu watuendeshee mashirika yetu kama Bandari, TRC, TANESCO etc
 
Back
Top Bottom