mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Ndo nipo kujificha hapa mkuuπ€£π€£π€£π€Subiri wapite na ww π
Solar saiv zimepanda beiSasa hivi wame extend ratiba wanakata asubuhi mpaka saa tano au saa sita usiku.lla watanzania tubadilishe mindset zetu unakuta mtu anauwezo wa kifedha vizuri tu lakini anategemea umeme huu wa tanesco kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani.Nitoe ushauri kama unauwezo wa kifedha funga solar system nyumbani ,kuondokana na manyanyaso haya ya tenesco utakuja ona life is so simple ,maana bei ya solar systems kwa sasa sio ki vile Kama miaka ya nyuma .
Mwanasheria wangu yupo likizoUmeme ukikata ghafla huwa unatamka maneno gani unayotamani TANESCO wayasikie?
hii ni noma laptop pasiKummmkππποΈ na hapo natumia laptop ambayo ni desktop ππ
[emoji23][emoji23][emoji23] mbaya zaidi ulikuwa una edit na hujasevuKummmk[emoji3][emoji3][emoji2772] na hapo natumia laptop ambayo ni desktop [emoji23][emoji23]
Hakuna anaejali mzee"hii ndo tanzania ya ccm, maamaee...."
kila wakikata nalaumu waliorudisha ccm madarakani... incompetent leaders kabisa....
wapiga dili wapenda dezo na wasiojali wanaoathirika ni wananchi masikini ambao ndio wapiga kura wao.