Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Acha nongwa wewe! Kwani hiyo ya kununulia huo umeme umemtafutia wewe?Tafuta hela ndugu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha nongwa wewe! Kwani hiyo ya kununulia huo umeme umemtafutia wewe?Tafuta hela ndugu yangu.
Hata ununue umeme mara kumi huto katwa tena kodi mwezi huu, hadi mwezi wa 9 na ndio ukatwe alfu moja na watafululiza kukata alfu moja moja hadi basi.na kama nanunua umeme mara mblli kwa mwezi nitakatwa 2000 yaani kwa mwaka 24000
Wamekatwa mwezi wa Saba 1000 na wa nane 1000, jumla 2000/-.
Ukiweka Sola utakuwa hujakwepa upumbavu maana Kodi ya jengo utalipa kwa kupanga foleni kule TRA.Mimi nikijenga nyumba yangu naweka sola upumbavu sutaki.
Tutaweka tozo ya kuwa na solar kwa mwaka 40,000Mimi nikijenga nyumba yangu naweka sola upumbavu sutaki.
Weka ushahidi itasaidia wengi.Nishakatwa 6000 mpaka sasa hivi nmenunua umeme mara tatu, system zao hazipo vzr
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Wanavyolialia na kushabikia utafikiri ni Kodi mpyaUkiweka Sola utakuwa hujakwepa upumbavu maana Kodi ya jengo utalipa kwa kupanga foleni kule TRA.
Kwani unadhani kabla ya kuunganisha kwenye luku majengo yalikuwa hatalipiwi Kodi? Mnaopiga kelele Ni wapangaji sisi wenye nyumba miaka yote tunalipa Kodi ya jengo 10000 kwa mwaka tulikuwa hatuwaambii tu maana haiwahisu.
Wanakata na ya mwezi wa saba.Hivyo ni miezi miwili chap
Na sio tu walisema elfu 1 najiuliza inamaana kila ukinunua umeme wanapita na buku 2? Yani kama apo jamaa kakatwa elfu2... Baada ya siku 2 akinunua anakatwa tena au sijaelewa?
Uongo uongo acha kupotosha iyo Kodi inakatwa Mara moja kila mwezi na ni tshs 1000 iyo elfu 2 imekatwa ili kufidia kodi ya jengo ya mwezi July mwaka wa fedha ulipoanza
Tulips kodi nchi hii itajengwa na did Watanzania
Lipa kodi ya jengo wewe kwa maendeleo ya nchiMimi nikijenga nyumba yangu naweka sola upumbavu sutaki.
Ndio Ila Utakuwa na uwezo wa kununua umeme lazima uongeze kiasi ifidie iyo Kodi ya jengo unayodaiwa na upate umemeKwahiyo kama nimetoka kwangu kwa miezi 10 nikirudi nakuweka umeme wa 10k yote wanakata?
Weka sms ya token hapa labda km una mita zaidi ya moja ndani ya nyumba moja ila sio meter ileileNishakatwa 6000 mpaka sasa hivi nmenunua umeme mara tatu, system zao hazipo vzr
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
hapo umekatwa 2000 ni kodi ya jengo kwa mwezi wa saba na wa nane mwezi ujao unakatwa 1000 tu usiogopeNdugu leo nimenunua umeme wa tshs. 5000 nimekatwa tshs. 2000 jumla sawa na asilimia 45%.
View attachment 1905687
Hapa ndo tumefikia na serikali yetu ndugu zangu. Hivi kama ni kodi ya uzalendo kwa nini viongozi wasioneshe mifano. Asilimia 5 ikatwe kwenye mishahara ya hawa watu: (Rais na makamu, Waziri Mkuu na maWaziri, Wabunge, maRC, maDC na DED). Nimetaja hao watu sababu wao wanaweza ishi kwa marupurupu ya kazi zao bila hata kugusa mishahara!
Wanakata miezi miwili July na August! Watanzania kukata 1000 mwezi wa 9. Kuna yeyote anayelipa ile ya matumizi madogo ambayo inalipiwa 9150 inapata units 75? Sasa sijui haitaathiri hii tarrif?Inakuaje wakate 2,000/= si walisema ni 1,000/= ?
Wacha hizo mkuu! Mwaka wa serikali unaanza Julai? Hivyo amekatwa Julai na Agosti!Hiyo ni makato ya mwezi wa sita na Saba, maana mwaka wa serikali unaanza mwezi wa sita. Kwahiyo wamekata makato ya miezi miwili.
Miezi inayofuata makato yatakuwa 1000 kila mwezi kama utakuwa una nunua umeme kila mwezi
WEKA USHAHIDI HAPA!Nishakatwa 6000 mpaka sasa hivi nmenunua umeme mara tatu, system zao hazipo vzr
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
2000x3 unapata ngapi?WEKA USHAHIDI HAPA!