Umeme wa hovyo (Junk Electricity), unavyosababisha maafa na hasara

Umeme wa hovyo (Junk Electricity), unavyosababisha maafa na hasara

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Umeme unaozalishwa na TANESCO ni junk electricity, umeme usio na viwango.

Ni kama mtu uliyevaa suti na tie, unaishia kulishwa na mama ntilie.

Umeme huu wa TANESCO, huko Mtibwa umesababisha maafa baada ya kuunguza swith board inayopokea umeme mkubwa na hatimaye kuharibu controls za boiler ya kiwanda. Boiler hilo likazalisha mvuke wa joto kali hadi kupasuka na kuua watu 11.

Chanzo cha yote hayo ni umeme usio na viwango, Junk Electricity.

Wananchi wengi wameunguliwa na nyumba na vifaa.
Ni muda sasa TANESCO wanatakiwa kufanya kazi kitaalam ili kupunguza adha hii.

Duniani kuna technolojia nyingi tu za kusawazisha mawimbi yatokanayo na "Power Surge", kitu unachoweza kulinganisga na tsunami za umeme zinazoleta uharibifu.
 
images-3.png

Umeme unaozalishwa na TANESCO ni junk electricity, umeme usio na viwango.

Ni kama mtu uliyevaa suti na tie, unaishia kulishwa na mama ntilie.

Umeme huu wa TANESCO, huko Mtibwa umesababisha maafa baada ya kuunguza swith board inayopokea umeme mkubwa na hatimaye kuharibu controls za boiler ya kiwanda. Boiler hilo likazalisha mvuke wa joto kali hadi kupasuka na kuua watu 11.

Chanzo cha yote hayo ni umeme usio na viwango, Junk Electricity.

Wananchi wengi wameunguliwa na nyumba na vifaa.
Ni muda sasa TANESCO wanatakiwa kufanya kazi kitaalam ili kupunguza adha hii.

Duniani kuna technolojia nyingi tu za kusawazisha mawimbi yatokanayo na "Power Surge", kitu unachoweza kulinganisga na tsunami za umeme zinazoleta uharibifu.
 
Meneja huko hajawajibika yeye mwenyewe? Vyokbo vingine vimeshaingilia kati hilo swala au hakuna wataalamu wa kuchunguza hizo mambo wengi ji wale service men ambao elimu ni ya hapa na pale?
 
Umeme unaozalishwa na TANESCO ni junk electricity, umeme usio na viwango.

Ni kama mtu uliyevaa suti na tie, unaishia kulishwa na mama ntilie.

Umeme huu wa TANESCO, huko Mtibwa umesababisha maafa baada ya kuunguza swith board inayopokea umeme mkubwa na hatimaye kuharibu controls za boiler ya kiwanda. Boiler hilo likazalisha mvuke wa joto kali hadi kupasuka na kuua watu 11.

Chanzo cha yote hayo ni umeme usio na viwango, Junk Electricity.

Wananchi wengi wameunguliwa na nyumba na vifaa.
Ni muda sasa TANESCO wanatakiwa kufanya kazi kitaalam ili kupunguza adha hii.

Duniani kuna technolojia nyingi tu za kusawazisha mawimbi yatokanayo na "Power Surge", kitu unachoweza kulinganisga na tsunami za umeme zinazoleta uharibifu.
TANESCO haina watalaam imejaa makada wa CCM tupu
 
Ili taifa lina watu wajinga sana. Mtibwa, Kagera na TPC huwa vinazalisha umeme wa mvuke wenyewe kutoka kwenye mabaki ya miwa. Kilichotokea kuko mtibwa ni mitambo yao (bomba) wa kisafirisha mvuke lilipata italafu. TANESCO haihusiki na jambo hilo.

Kijana jifunze kufatilia mambo acha kukurupuka
 
Ili taifa lina watu wajinga sana. Mtibwa, Kagera na TPC huwa vinazalisha umeme wa mvuke wenyewe kutoka kwenye mabaki ya miwa. Kilichotokea kuko mtibwa ni mitambo yao (bomba) wa kisafirisha mvuke lilipata italafu. TANESCO haihusiki na jambo hilo.

Kijana jifunze kufatilia mambo acha kukurupuka
Asante. Uzushi ni mwingi sana mkuu
 
Mimi wameniunguzia tv yangu Kwa umeme usioeleweka.nimepanga kwenda kufungua kesi dhidi ya tanesco Kwa kuniharibia vifaa vyangu.
Uwe makini kibao kinaweza kukugeukia iwapo hiyo TV haikwepo kwenye ile mchoro wakati unachukua fomu ya kufanyiwa survey kwa ajili ya kuunganishiwa umeme.

Wengi wanashindwa kufungua kesi kwasababu walichowasilisha kwenye michoro na walichoweka kwenye nyumba ni tofauti hivyo TANESCO wanaweza kukushitaki kuwa uliwadanganya na kuingiza kitu kilichowaletea uharibifu kwenye mfumo wao wa kusambaza umeme.
 
Ili taifa lina watu wajinga sana. Mtibwa, Kagera na TPC huwa vinazalisha umeme wa mvuke wenyewe kutoka kwenye mabaki ya miwa. Kilichotokea kuko mtibwa ni mitambo yao (bomba) wa kisafirisha mvuke lilipata italafu. TANESCO haihusiki na jambo hilo.

Kijana jifunze kufatilia mambo acha kukurupuka
THE GUARDIANNEWSLOCAL NEWS

Mtibwa Sugar steam plant explodes in voltage surge

By Ida Mushi , The Guardian

Published at 06:16 AM May 24 2024

SACP Alex Mkama, the Morogoro regional police commander

A SUDDEN increase in voltage in the Mtibwa Sugar factory's heating system electrical circuit ignited a blast one hour past midnight on Wednesday as technical personnel were preparing to operate it for production activity.

SACP Alex Mkama, the Morogoro regional police commander, said yesterday the incident occurred after midnight where 11 people were killed and two others injured, three of the dead being foreign nationals, with an Indian, Kenyan and a Brazilian.
 
Ili taifa lina watu wajinga sana. Mtibwa, Kagera na TPC huwa vinazalisha umeme wa mvuke wenyewe kutoka kwenye mabaki ya miwa. Kilichotokea kuko mtibwa ni mitambo yao (bomba) wa kisafirisha mvuke lilipata italafu. TANESCO haihusiki na jambo hilo.

Kijana jifunze kufatilia mambo acha kukurupuka
Umesoma magazeti ya leo?
Au unaiotea TANESCO.
 
THE GUARDIANNEWSLOCAL NEWS

Mtibwa Sugar steam plant explodes in voltage surge

By Ida Mushi , The Guardian



Published at 06:16 AM May 24 2024



SACP Alex Mkama, the Morogoro regional police commander

A SUDDEN increase in voltage in the Mtibwa Sugar factory's heating system electrical circuit ignited a blast one hour past midnight on Wednesday as technical personnel were preparing to operate it for production activity.

SACP Alex Mkama, the Morogoro regional police commander, said yesterday the incident occurred after midnight where 11 people were killed and two others injured, three of the dead being foreign nationals, with an Indian, Kenyan and a Brazilian.

Umesoma magazeti ya leo?
Au unaiotea TANESCO.
Screenshot_20240524_160826_Chrome.jpg

Taariya ya vifo kutoka police
 
Back
Top Bottom