Umeme wa Shilingi 5,000 nimepata Units 8.5. Je, tutafika?

Umeme wa Shilingi 5,000 nimepata Units 8.5. Je, tutafika?

Uzuri wa mama

Interest za mabeberu ameziweka moyoni kwahiyo msitarajie wazungu watamtetea mtu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Ila mama kaleta demokrasia jamani[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Wanataka uishe haraka ilimradi tu ununue mwingine
Kununua umeme Kila siku Haina maana Kila ukinunua unalipa Kodi ya jengo. Kodi unalipa Mara moja tuu kwa mwezi. Usiponunua miezi mingi unalimbikiza Deni siku ya kununua wanakata miezi yote ambayo hukulipa.
 
Kodi ya majengo imeanza kutushughulikia, yaani Tshs. 5,000 naishia kupata Unit 8.5 badala ya 14.1 kama ilivyokuwa zamani.

Tunakoelekea kutakuwa na tozo ya tozo, maana anaupiga mwingi!

View attachment 1901225
Hii nchi aisee, hapo Zanzibar tuu VAT ni 15 % kuna wenzetu VAT ni mpaka single digit wao wamekomaa na hiyo 18% tuu. Haya angalia hiyo EWURA 1% na REA 3% ni za nini ikiwa mikopo wanayochukua bado inatumika kusambaza umeme? Imagine pesa yako inakatwa more than 22% kweli??
 
Hapo umelipia Kodi ya jengo mwezi July na August, kituo kinachofuata Ni mwez September!

Kwa hyo bila shaka units ulizopewa Ni sh elf 2 na points, ukiondoa tozo nyngnezo
Haya ehee kwa Januari mpaka Juni itakuwaje? Au wanatumia mwaka wa fedha unaanzia July to June?
 
Na hili litapita tutalizoea.

Wabongo aliyetuloga alikufa.
Eti wanasema sisi ni makondoo
FB_IMG_1629285870099.jpg
 
Lkn Hii kodi ya JENGO haina tatizo lolote kuiweka kwenye LUKU sababu wanye nyumba walio wengi hawalipi PROPERTY TAX Kinacho takiwa kuwaelewesha Wananchi kodi anayo lipa ni mwenye NYUMBA tu na shillings 1000 kila mwezi kwa hiyo kwa mwaka sh 12000/= tu kwa nyumba za kawaida.

Sione sababu watu kuwa na maneno mengi sababu haiwezi kuzidi sh1000 kwa mwezi kwa nyumba ya kawaida sema tatizo sisi Kama WATANZANIA tumezoea ku- exaggerate vitu vingi sn .

Sasa kinacho takiwa kama mpangaji wa nyumba unakaa kweny nyumba ambayo OWNER hakai hapo lazima kwenye KODI YAKE ITOLEWE SH 12000 kama malipo ya JENGO kupitia LUKU basi shida ipo wapi hapo?.
 
Wale wapumbavu wa ccm wa kila kitu ndio bwana mkubwa wana bahati nzuri maana hizi kodi haziwahusu...

😂😂😂
 
Mtanikumbuka kwa mazuri au Mabaya! “
JPM 2020”
 
Na hili litapita tutalizoea.

Wabongo aliyetuloga alikufa.
I wish tuwe na tozo kama 100 hivi leo naona zimeongezeka wenye ma bar ukipiga mziki kwenye kiduka na nyingine lukuki mama ongeza hadi wananchi waamke na kijitambua
 
Haya Mambo kayaleta ghafla bila kufikiria nadhani wanaua uchumi, wenye mitambo ya solar sasa ni mda wa kufanya biashara ka ilivo ma bank kwa sasa
Kabisa kwa sasa ni vyema mtu ukakubali kueka pesa ya kutosha kwenye solar uachane na tanesco kabisa
 
Back
Top Bottom