Umeme wa "Solar" : Ushauri

Mkuu hapo kwenye 110V, huku kwetu itatufaa kweli? nilitarajia ingeweza kuwasha vifaa vya 220V.

Kuna simu, computer na vitu vinginevyo vingi tu ambavyo ni vya 110-120 vimezagaa nchi nyingi Afrika toka Marekani lakini vinatumia pia 210 -220. Mimi mara ya kwanza nilihofu hilo, wakanihakikishia wengine kwamba vyombo vya siku hizi vimeandaliwa kufanya kazi kwa aina zote mbili. Hivi hilo lisikupe shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…