Kuna simu, computer na vitu vinginevyo vingi tu ambavyo ni vya 110-120 vimezagaa nchi nyingi Afrika toka Marekani lakini vinatumia pia 210 -220. Mimi mara ya kwanza nilihofu hilo, wakanihakikishia wengine kwamba vyombo vya siku hizi vimeandaliwa kufanya kazi kwa aina zote mbili. Hivi hilo lisikupe shaka.