Sisi wananchi wa wilaya ya masasi,mkoani Mtwara kuanzia jana umeme umekuwa unakatika kila baada ya dakika 10 na kuleta madhara makubwa kwa sisi wananchi ambao tunautumia kwani tunaunguliwa na vifaa ambavyo t
Vinatumia umeme ,pia majokofu yanashindwa kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na kero ya kata kata ya umeme,wizara husika ya nishati na madini tunaiomba iiangazie hii wilaya kuanzia kwa viongozi husika wa tanesko kwani wmeshindwa kutatua hii kero.