Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani inakatisha tamaa kwakweli mpaka unajiuliza hayo maendeleo yanayosemwa ni yapiHaya yanaanzi kwa viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza kama taifa..
Wanatupeleka gizani kabisa, nchi toka ipate uhuru mwaka hamsini kweusi huko mpaka leo, afya, maji, umeme, miundombinu, elimu n.k kote huko ni kero tupu
Ni Machawa tu ndio wanasifia, ila ukipima hayo wanayoita maendeleo vs muda uliotumika toka uhuru mpaka leo, utaona maendeleo hayo si lolote si chochote.Yaani inakatisha tamaa kwakweli mpaka unajiuliza hayo maendeleo yanayosemwa ni yapi