Haya yanaanzi kwa viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza kama taifa..
Wanatupeleka gizani kabisa, nchi toka ipate uhuru mwaka hamsini kweusi huko mpaka leo, afya, maji, umeme, miundombinu, elimu n.k kote huko ni kero tupu
Haya yanaanzi kwa viongozi tuliowapa mamlaka ya kutuongoza kama taifa..
Wanatupeleka gizani kabisa, nchi toka ipate uhuru mwaka hamsini kweusi huko mpaka leo, afya, maji, umeme, miundombinu, elimu n.k kote huko ni kero tupu
Ni Machawa tu ndio wanasifia, ila ukipima hayo wanayoita maendeleo vs muda uliotumika toka uhuru mpaka leo, utaona maendeleo hayo si lolote si chochote.