Mwambie pia hivo vidonge kuanza kuvinywa mapema hivo, vinawez a mletea uvimbe kwenye kizazi,na kupunguza chance yaa kupata mtoto, pia mkumbushe kuanza kufanya mapenzi mapema kunaweza sababisha cancer ya mlango wa uzazi, ila la muhimu ajikinge sababu kuna ukimwi utaweza mmaliiza, anatumia vidonge coz hajikingi