Umemtambua nani pichani?

Umemtambua nani pichani?

Mbona wamestaafu wakiwa wadogo hivyo? Hawajafikia umri wa Zlatan Ibrahimovic wa sasa wala umri aliostaafia soka Madaraka Suleimani.

Wanatia huruma kweli. Pole yao. I wish there was a third golden chance for them labda hiyo wangeitumia vizuri (baada ya kijifunza maisha ya msoto).

Well said mkuu
 
Mbona wamestaafu wakiwa wadogo hivyo? Hawajafikia umri wa Zlatan Ibrahimovic wa sasa wala umri aliostaafia soka Madaraka Suleimani.

Wanatia huruma kweli. Pole yao. I wish there was a third golden chance for them labda hiyo wangeitumia vizuri (baada ya kijifunza maisha ya msoto).
[emoji106]
 
Back
Top Bottom