Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
-
- #281
Hahahhaha wapi kibatani cha like lol, yaani nikimkubalia nakua na faida mbili kwanza nimepunguza maana ukikaa sana zinajaa, pili ndio hivyo tena.
Habaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrr yake. Utu uzima raha sana asee
Naniino si aliiacha mwenyewe sina makosa mie kabisa, pesa zake nakula cause anataka kunigeuza mi ndondocha lake la mapenzi pambaf zake
...Maty weee, ha ha ha....'kula nkule sio?'
mkuu ujue hili ni mtu na mtu tu....Ukiona mtu amejiua au anataka kujiua si utani anajua mwenyewe tu how pains he/she is facing.....Usiusemee moyo alisemaga lady jaydee
magulumagulu taratibu bana, kujiua sio suluhisho la matatizo. Mbu is here to listen!....nipo tayari kusikiliza kilio cha yeyote anayefikiria maisha yamemshinda. My number is [...................................................... ]...acha ujumbe, nitakupigia.
Kwa wenye mioyo dhaifu, natanguliza ombi la msamaha kama nitakuwa nimewakwaza kwa njia moja au nyingine.