Wanaume wengi tunashindwaga hapa!! Sijui ni kwanini . . . ??!! Mi nimejifunza sana hapa saa hizi!!
MTM na Mbu..., ninakubaliana na nyie 100% kwamba ni vizuri badala ya kupoint fingers tuwe tunajiangalia wenyewe..,
llakini point yangu ni kwamba "Behind every successful man there is a woman and vice versa is true..., ni kwamba in order to reach our potential lazima tupate support ya mtu and there is nothing better kama support ya mtu mnayeshare emotions.., ni kwamba huyu ni kama umempa your heart and he/she can make you or destroy you...., mfano mwingine Lauryn Hill (since ameolewa na yule bwana) she stopped pursuing her music career and the man has turned her into a house wife although she was a career woman... (ingawa angeweza kumsupport na angeweza kufanya vyote)
Ingawa kuharibu maisha its too bigger a word.., lakini am sure most of us kama tukiwapa support wenzetu kwa mambo wanayoweza kufanya effect yake inaweza ikawa better.., mfano wa mimba kama mtu atakubali kuwa mtoto ni wake na ku-offer support then its okay lakini pale anapomkataa mwanamke na kusema mtoto sio wake hapa atakuwa amempa mwanamke mzigo...
maty big up ni vizuri mtu ukijitambua aiseeTena afadhali wanaume my dia wanawake ndio kabisa tunapenda kulaumu bila kuchunguza ni wapi na sisi tunachangia au kukosea mimi katika mahusiano yangu yote yaliyopita huwa nalaumu halafu najichunguza na mie nilikosea wapi then maisha yanaendelea. Ila sasa hivi hata nikiwa na uhusiano na mtu silaumu kiviiiiiiiiiiile akijifanya kunitenda kwani umri wa kudanganywa umeshapita. Lolote linalotokea nakua nimejitakia mwenyewe
if there comes a day nikamlaumu wife wangu kwamba kaniharibia maisha, basi ntakua nina matatizo makubwa coz i participated in the process
and if she come and say nimemuharibia maisha.... ntakubali coz women are alwayd right!!
Sasa hapa mkuu unaweza kusema NIMEHARIBU MAISHA YA MTU?
Jaman jana tu mwenzenu aliyekuwa mpz wangu wa miaka kansalit na mwaka huu ndio nimefanikiwa fanya nae mapenzi kwani alikuwa bikla na tumefanya tendo hili mara 2 tu chakushangaza mwezi ulio pita alisafili kwenda hom kwao kwan tuna kaa wilaya tofauti baada yakufika huko nikapigiwa sim na aliwekuwa mpz wake wa zaman kabla yangu akiniambia kuwa mpnz wangu ana tembea na rafiki yake na siku ana piga cm aliwakuta mara ya 3 wakitoka guest house mi nikaamua kumuuliza akanijibu ni maneno tu ya watu alafu hapo hapo akampigia sim jama aliyenipa taarifa na kumtukana sana kisha aka mpigia huyo jamaa yake mpya kumuuliza kama ameniambia japo mimi hatufahamiani sasa mtu kama huyu haja nialibia kweli tumekuwa wote kwa miaka 3kaka unaonekana unaandika kwa hasira sana mpaka storuy imekuwa kama hatuelewi vizuri, pole mwaya hapo hujaharibiwa maisha wala nini, ndio kwanza umeanza nae, jipe mapumziko ili upone jeraha na uendelee na maisha, usimpe kichwa na kusema kaharibu maihsha yako mwili wako baado unao
Mi binafsi sipendi malawama nifanyapo maamuzi yangu, kwa hiyo ningependa kuheshimu maamuzi ya mwingine akiamua, sio kulalama tu umeharibiwa maisha, kwani mzazi wako huyo? mtu umekutana nae tu ukubwani lets say una miaka 25 then ukae nae miaka miwili useme kakuharibia maisha? umesahau miaka yote 25 uliyokuwa mwenyewe mwenye furaha?
Cha muhimu ni kuangalia wapi ulianguka ili usirudie tena kosa, na umshukuru mungu kwa uzima wako
CPU, la hasha bana huyo alikuwa anakutegea 'bomu' uchukue jukumu la kujibinafsifisha familia yake yote!
Iwapo nawe kwa 'upofu' ungeingia kichwa kichwa kisa umependa, wallahi ungeturudia hapa na kilio cha umeharibiwa maisha ilhali utambuzi, uchaguzi na maamuzi yalikuwa yako mwenyewe!
Bado unaendelea nae?
Bado hamjaanza maofu topiki?
Ngoja nisepe tena....ila mkiwaona Mbu, MTM na Klorokwini waambieni vita yetu bado haijaisha....
Wameniharibia maisha!
Ngoja nikae pembeni kwanza mpaka hili sredi lianze maofu topiki....kuna watu humu nna hasira nao sana!
Subiri............!Babu, huyo mtu kakuharibia maisha nini??
Heheh he heheh
Mi binafsi sipendi malawama nifanyapo maamuzi yangu, kwa hiyo ningependa kuheshimu maamuzi ya mwingine akiamua, sio kulalama tu umeharibiwa maisha, kwani mzazi wako huyo? mtu umekutana nae tu ukubwani lets say una miaka 25 then ukae nae miaka miwili useme kakuharibia maisha? umesahau miaka yote 25 uliyokuwa mwenyewe mwenye furaha?
Cha muhimu ni kuangalia wapi ulianguka ili usirudie tena kosa, na umshukuru mungu kwa uzima wako
Bado hamjaanza maofu topiki?
Ngoja nisepe tena....ila mkiwaona Mbu, MTM na Klorokwini waambieni vita yetu bado haijaisha....
Wameniharibia maisha!
Mkuu kilichopo saa hizi ni kwamba, sijamtafuta kwa mawasiliano na wala yeye hajanitafuta. Miezi mi5 sasa.
Sasa sijui ndo tumeachana, au nimemuacha au yeye ndo kaniacha?
Hata sielewi elewi.
Nahisi kama akikubali kubadilika naweza kurudiana nae . . . lolz
Na ukimkatalia kama alikua rafiki basi ujiandae huo urafiki unakufilia mbali, utanona tu anaanza kukuchunia nia, mwisho dah
Kwa kweli nawashangaaga sana wanaume katika hili na wala siwaelewagi kabisa.Hahahaha lol, wiki imeanza vyema mpenzi, kuwalaumu ni lazima ili wajue wafanyacho si kizuri hata kidogo.
Imagine mtu anaanza kutaka kumdanganya mtu mzima maty akifikiri nina miaka 20 lol. Na kwa sababu nimeshapita huo umri wa kudanganyika mtu anakuchunia eti, mwe!Tena afadhali wanaume my dia wanawake ndio kabisa tunapenda kulaumu bila kuchunguza ni wapi na sisi tunachangia au kukosea mimi katika mahusiano yangu yote yaliyopita huwa nalaumu halafu najichunguza na mie nilikosea wapi then maisha yanaendelea. Ila sasa hivi hata nikiwa na uhusiano na mtu silaumu kiviiiiiiiiiiile akijifanya kunitenda kwani umri wa kudanganywa umeshapita. Lolote linalotokea nakua nimejitakia mwenyewe
Tujadili kwanini kinyongo, chuki, fitna, wivu, hasira, yakichanganyika na mapenzi yanachangia walio wengi kupoteza matumaini ya maisha.
Unataka kumharibia maisha?Bora mi sijakuharibia aiseee . . . . utaniachia yule mjukuu wako
Mkuu Mbu,
kwa mtizamo wangu mtu yeyote anayesema hivyo anakuwa amekata tamaa ya maisha na kukata tamaa ya maisha haikubaliki hata kwenye vitabu vya Dini
Mara nyingi msichana akipata ujauzito, tuseme kabla ya kuoana, inakuwa 'umeniharibia maisha' na hili linapelekea wengi kuzichoropoa thereby aggravating the problem
Au mwanaume mzima, mwanamke anakuwambia kwamba its over then unatafuta sumu unabugia....sioni sababu hata kidogo,
Kiafya ya akili, kutegemeana na exposure ya mtu, watu wanatofautiana na jinsi ya kuhandle hizi situations...lakini tuelewe kuwa there is nothing worth taking your life or some one else's life kisa eti mapenzi....haikubaliki
dah hapa funda moja tu la ziada, nitaumbuka....
lol, maisha haya, kwani kuna wa kuwapeleka skul kwenye hiyo familia au ni watu wazima wanahitaji msaada wako kwa namna moja au nyingine? sema mdada nae alilielezea vibaya.
...ila wapo pia kina dada ambao nao huchukia kweli kweli iwapo mwanaume ataanzisha mahusiano na shoga yake (badala yake,) matokeo yake hata urafiki wao utalega lega au kufa iwapo mrembo nae atakuwa na msimamo thabiti kutetea mapenzi yake kwa mwanaume.