Umenikula sana embu mwachie na mwenzio dear

Umenikula sana embu mwachie na mwenzio dear

Ni maneno yalio tolewa na binti mmoja mwenye uzuri wake. Na sauti flani hivi ya kibez ikiwa na mchanganyiko na mahaba ya kudeka.

Huyu ni binti ambae nilikutana nae katika harakati za kula maisha akiwa na wenzie . Basi katika kufahamiana siku ya kwanza wao ndio walikua obsessed na sisi. Walikua wamejitoa out na wenzie watatu wakala kunywa ulivyo fika muda wa kulipa tukamuita muhudumu na kumuambia tunaomba gharama nusu tuwalipie sharing is carring.

Muhudumu akawafukishia Salam zetu na kuoneshea mkono meza yetu tulistuka kwa kutazamwa na tabasamu zao nyuso zikiwa na furaha like wanataka kutujua zaidi sisi wakina nani basi kama kawaida yetu tunachokoza alafu tunauchuna ili kuwapa kazi ya kutaka waanze kutupapatikia.

Basi hatukuendelea na shobo basi wakati wanaondoka wakapitia meza yetu na kutupa asante zetu mimi na jamaa yangu. Tukawaacha wakaondoka bila hata kuonesha shobo wala interest na kitu Chao chochote hata namba zao.

Basi wakasepa, na sisi ukafika wakati wa kusepa wakati tunatoka tukawakuta nje na kutuomba lift ndipo mambo ya namba na kila kitu yalianzia hapo tulibadirishana namba wote Watano. Kwa haraka na jamaa tukakaa kikao kila mtu aanze na wake kutengeneza mazingira ya kuwala.

Basi mimi kwa haraka nikaanza na huyo bibie hakua mbishi sana akaingia box nikatafuna kama mara nne mfululizo ndio nikaanza harakati za kuwatafuna wenzie. Kiuhalisia huyu ikatokea kila nikitaka kutoka namtafuta yeye bila magumashi mtoto anakubari basi nikienda huko tunanyanduana vilivyo. Ila anakamchumba kake hako wanamalengo nako ila hakana maajabu ndio maana nakishinda Kate kwa kumtekea demu wake.

Ikafika kipindi mimi ndio muamuzi wa weekend zake hivyo anajikuta zinapita hata weekend nne hajakutana na hata moja na hako kajamaa. Kajamaa kanalialia tu inbox kwa mameseji matamtam mareeefu. Hadi hapo binti akaniuliza utanikinai lini?

Maana mimi nimeshindwa kujizuia nimejikuta nakupenda sana na kwako nashindwa kujitoa ndio maana nimekupa muda wangu wote. Nikamjibu tu kuwa muda ukifika. Utaongea. Akanijibu umajua nina mtu wangu wa kufanya nae maisha ila simpi muda kabisa alafu mbona umenikula sana plz naomba umuachie mwenzio, kwa kisura cha huruma.

Nikacheka tu na kumnyanyua juu na kumchomeka ukuni na kuanza kupiga kasia na mtoto kuanza kugugumia...

Itaendela ...... kama itakua na muendelezo
JamiiForums-99382818.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ni maneno yalio tolewa na binti mmoja mwenye uzuri wake. Na sauti flani hivi ya kibez ikiwa na mchanganyiko na mahaba ya kudeka.

Huyu ni binti ambae nilikutana nae katika harakati za kula maisha akiwa na wenzie . Basi katika kufahamiana siku ya kwanza wao ndio walikua obsessed na sisi. Walikua wamejitoa out na wenzie watatu wakala kunywa ulivyo fika muda wa kulipa tukamuita muhudumu na kumuambia tunaomba gharama nusu tuwalipie sharing is carring.

Muhudumu akawafukishia Salam zetu na kuoneshea mkono meza yetu tulistuka kwa kutazamwa na tabasamu zao nyuso zikiwa na furaha like wanataka kutujua zaidi sisi wakina nani basi kama kawaida yetu tunachokoza alafu tunauchuna ili kuwapa kazi ya kutaka waanze kutupapatikia.

Basi hatukuendelea na shobo basi wakati wanaondoka wakapitia meza yetu na kutupa asante zetu mimi na jamaa yangu. Tukawaacha wakaondoka bila hata kuonesha shobo wala interest na kitu Chao chochote hata namba zao.

Basi wakasepa, na sisi ukafika wakati wa kusepa wakati tunatoka tukawakuta nje na kutuomba lift ndipo mambo ya namba na kila kitu yalianzia hapo tulibadirishana namba wote Watano. Kwa haraka na jamaa tukakaa kikao kila mtu aanze na wake kutengeneza mazingira ya kuwala.

Basi mimi kwa haraka nikaanza na huyo bibie hakua mbishi sana akaingia box nikatafuna kama mara nne mfululizo ndio nikaanza harakati za kuwatafuna wenzie. Kiuhalisia huyu ikatokea kila nikitaka kutoka namtafuta yeye bila magumashi mtoto anakubari basi nikienda huko tunanyanduana vilivyo. Ila anakamchumba kake hako wanamalengo nako ila hakana maajabu ndio maana nakishinda Kate kwa kumtekea demu wake.

Ikafika kipindi mimi ndio muamuzi wa weekend zake hivyo anajikuta zinapita hata weekend nne hajakutana na hata moja na hako kajamaa. Kajamaa kanalialia tu inbox kwa mameseji matamtam mareeefu. Hadi hapo binti akaniuliza utanikinai lini?

Maana mimi nimeshindwa kujizuia nimejikuta nakupenda sana na kwako nashindwa kujitoa ndio maana nimekupa muda wangu wote. Nikamjibu tu kuwa muda ukifika. Utaongea. Akanijibu umajua nina mtu wangu wa kufanya nae maisha ila simpi muda kabisa alafu mbona umenikula sana plz naomba umuachie mwenzio, kwa kisura cha huruma.

Nikacheka tu na kumnyanyua juu na kumchomeka ukuni na kuanza kupiga kasia na mtoto kuanza kugugumia...

Itaendela ...... kama itakua na muendelezo
Unatuaibisha.

Na wewe hujatafuta mwingine tu umeng'ang'ania hapo hapo kama luba mpaka unafukuzwa kidiplomasia uwaachie wengine?

On a serious note.

Hivi hamuogopi kupeana magonjwa kwenye hizo chains?
 
Unatuaibisha.

Na wewe hujatafuta mwingine tu umeng'ang'ania hapo hapo kama luba mpaka unafukuzwa kidiplomasia uwaachie wengine?

On a serious note.

Hivi hamuogopi kupeana magonjwa kwenye hizo chains?
Hahahahaha ngoja nimuache my wa watu. ......hizi chain ni automatic tu mkuu.

Kama unafanya mapenzi na huchepuki basi jijue wewe ndio node ya mwisho ya hiyo chain
 
Hahahahaha ngoja nimuache my wa watu. ......hizi chain ni automatic tu mkuu.

Kama unafanya mapenzi na huchepuki basi jijue wewe ndio node ya mwisho ya hiyo chain
Tatizo unafikiri kila mtu anaishi kama mtaani kwako.
 
Kwa pesa?
Mimi binafsi napenda sana kujitoa out so kuwe na mwanamke asiwepo kutoka ni lazima.

Hivyo katika out zangu ndio huwa nawaalika na kuwala huko .....mimi nakua nimekula mbususu yeye anakua amepata location ya picha za kupost Instagram
 
Back
Top Bottom