Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Wewe umepitia wangapi,ukadanganya wangapi,umejeruhi wangapi, na umebeba mikosi kiasi gani? Biashara bila mteja haiuzwi bana na ile habari huwa kuna mwanaume na mwanamke,acha kuji console adui wa mafanikio yako ni wewe mwenyewe.
Hapa namlenga kijana anayetaka kuingia kwenye ndoa 20-30. Asioe mdada wa 25+. Maana kwa mwanaume kufanya ufuska ktk umri wa miaka 18-25 ni nadra sana. Atafanya kwa kipato kipi? Wasichana wakisha vunja ungo tu wanafuatwa na mibaba 30+ yenye ndoa zao na kuanza kuruka nayo. Unaiona tofauti mkuu?

Kwahiyo kijana kiume 26 akioa msichana 25 ameoa legendary wa migegedo. Hawawezi kamwe kuwa sawa
 
Me nahisi naishi Jupiter..
Haya mambo nayasikiaga jf..bnafs sijayashuhudia.
 
Hapa namlenga kijana anayetaka kuingia kwenye ndoa 20-30. Asioe mdada wa 25+. Maana kwa mwanaume kufanya ufuska ktk umri wa miaka 18-25 ni nadra sana. Atafanya kwa kipato kipi? Wasichana wakisha vunja ungo tu wanafuatwa na mibaba 30+ yenye ndoa zao na kuanza kuruka nayo. Unaiona tofauti mkuu?

Kwahiyo kijana kiume 26 akioa msichana 25 ameoa legendary wa migegedo. Hawawezi kamwe kuwa sawa
As if hiyo shughuli inahitaji fedha siku hizi ! ! Ebu fanya kautafiti kwenye shule za msingi kwanza uone wanavyo jimilikishana hao watoto, halafu urudi kutuambia hapa. Zamani wakuchungwa alikuwa ni binti lakini sasa mvulana ndiyo yuko ktk shida zaidi toka kwa majimama,majibaba na wa rika lake.
 
Kwahiyo rais wa Uraransa Macro Ema tunamweka kundi lipi maan yy ameoa 64
Huyu itakuwa kwao ni choka mbaya. Maana ameanza uhusiano na huyu mama yeye akiwa na miaka 15 huyu mama akiwa mwalimu wake na akiwa na miaka 39. Yawezekana rais alivutwa na visenti vya ualimu vya mama
 
Laana zote ameziondoa Mwana wa Mungu pale msalabani.

Hakuna anaweza kumpangia mtu umri wa kuoa au kuolewa, na kama unaamini katika laana jua hata wanaume nao pia hubeba laana hizo kwenye miili ya wanaotembea nao.

Wakati mwingine unapojaribu kumnyooshea mtu kidole tazama vinavyokurudia

Msalabani wapi wewe wacha kujipa no sweat, watu wenyewe mnaenda kanisani baada ya kula ujana. Hivi kanisani ndio wanaenda watu used na wasiofaa? Wkt wa ujana mambo mazuri mnakua busy, ikifika 26,27,...34 kuokaaaa

Msiusingizie msalaba kwa mambo ya ajabu, ni kweli kuna k na dushe zenye laana
 
Msalabani wapi wewe wacha kujipa no sweat, watu wenyewe mnaenda kanisani baada ya kula ujana. Hivi kanisani ndio wanaenda watu used na wasiofaa? Wkt wa ujana mambo mazuri mnakua busy, ikifika 26,27,...34 kuokaaaa

Msiusingizie msalaba kwa mambo ya ajabu, ni kweli kuna k na dushe zenye laana
Huwa wanaenda makanisani kulia kwa sana. Baada ya kuharibu vizazi kuua watoto kwa kutoa mimba
 
Acha kuwakosea dada zetu, wapo walio chini ya miaka 25 na washaaruka sana na wapo wenye 30 na wanajiheshimu, sisi wanaume wapo washaatembea na wanawake zaidi ya 30 mbona hujawasemea, Mungu husamehe waliokosa waombe radhi wa waape kutorudia. Mimi ni mwanaume najua uchafu tunaoufanya tusiwaonee hawa watu wana kazi kubwa sana kutushape
 
Nikweli ila hilo pia linatuhusu sisi wanaume. Unakuta mwanaume ameshatembea na wake zawatu kibao tegemea hata ww ukiowa mkeo atagongwa tuu
Na mm nawagonga tu nalipa kisas mapema
 
Mkuu ulianza na mada ya miaka 30, leo umekuja na miaka 25. Tutafika mpaka miaka 10 kwa mwendo huo.

Kuhusu kuolewa hao wa miaka 25 umewaonea hasa wale wenye elimu ya shahada.

Wenye miaka zaidi ya 30 nakubaliana na wewe kwa sababu binti anayejitunza na mwenye tabia nzuri tunamuona na kuoa mapema kabla hajafikisha miaka 30.

Ukija na mada nyingine punguza ukali wa maneno.
 
Back
Top Bottom