Sina shaka na muenendo wangu! Ila wadada wanakosa uvumilivu...cjui ndo utamu unanoga! Ila 25+ ya karne hii ni majanga matupu!Hope na wewe utakuwa moja wapo ambae umewaharibia wadada wa watu maisha kwa kuwadaganya alafu unakuja kuleta porojo hapa jichunguze kwanza wewe ndio uanze kulaumu wengine
Kwann akubali kuchezewa sana!? Akifanyiwa visa mwanzo kwann akubali tena kuchezewa!? Sioni umuhimu wa kuwatetea!Wakina dada wanaishi katika jamii tofauti na wengine? Kama una mtazamo wa kuwa maadili yao yana mushkeli, basi ujue ni jamii yote, wakiwamo wanaume wanaowatumia kwa malengo yao yoyote yale. Msichsna huolewa, sada mtu unapomchezea na kumuacha bila ya kumuoa, yeye atafanya nini?
Ni swala la jamii nzima, kama si sahihi kujamiiana kabla ya ndoa, basi mwamaume na mwanamke, wote wahakikishe hilo. Sio kwa mwanaume kumrubuni mwanamke au kinyume chake, halafu lawama abebeshwe mmoja. Jamii yetu kwa sasa kujamiiana kiholela ni jambo la kawaida.Kwann akubali kuchezewa sana!? Akifanyiwa visa mwanzo kwann akubali tena kuchezewa!? Sioni umuhimu wa kuwatetea!
Najua imegusa nyeti hii....ila kiukweli mdada wa 25+ unafikiri kaonja dudu ngapi!? Mikosi kibao...
Swali jepesi mnoo...wanaume wanachelewa sana kuanza mambo ya mapenzi unlike women... naongelea majority!Kwani mkaka wa 25+ kaonja nyapu ngapi?
Kabeba laana na mikosi kiasi gani??
Mkuu na wew ni 25+ heheTunaharibiana hali ya hewa jamani. Mnatugusa gusa mjue
Swali jepesi mnoo...wanaume wanachelewa sana kuanza mambo ya mapenzi unlike women... naongelea majority!
Majority ya wanawake 19+ sio mabikraKwahiyo majority ya wanaume 25+ ni mabikra
Majority ya wanawake 19+ sio mabikra
U are correctKwahiyo majority ya wanaume 19+ ni mabikra?
Mkuu unawasi wasi na mim eeh [emoji2][emoji2][emoji2]HA HA HAA A
Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.
Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.
Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.
Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.
Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.
Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.
USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.
(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)