Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Hili jambo la kufikirika halina uhalisia.
 
Hii dhana ni potofu,binafsi naamini kuwa,kama wewe
bado unajihusisha na mambo ya kuhonga
wanawake jifunze kwanza kutoumia moyoni
endapo itatokea ukapigwa chini.
Issue hapa mkuu siyo kuvumilia maumivu ya kupigwa chini. Naongelea maumivu anayo yapata kijana mwenye miaka 28-30 alikuwa busy na masomo na kujiandaa kuanza maisha. Anaamua kuoa anaangukia kwa mdada mwenye 25+


Mdada huyu ana miaka 10 ya uzoefu wa kugawa. Kisha mwagiwa kifuani, mdomoni, nyuma ya ukuta na masikioni. Yaani full laana na mikosi. Kijana wa watu anajaribu kulifanya tendo la ndoa kwa mkewe ktk namna ya kistaarabu ndiyo utayasikia haya yaliyokubuhu yanakuja humu kuponda kuwa ana kibamia, hanitoshelezi, n.k. Utamtosheleza vipi mtu ambaye nati zake zote zimelegezwa na mibaba zaidi ya mia kwa miaka kumi ?

Sasa ndiyo maana nikaja na uzi huu kuwaonya vijana.
 
Hili jambo la kufikirika halina uhalisia.
Mkuu Bill sisi wengine ni wasuluhishi wa migogoro ya ndoa tumeyaona na kuyasikia. Mtu anakuambia tangu nioe huyu mwanamke biashara zangu zinayumba. Hata kama huyu mwanamke ana kipato chake kikubwa.
 
Kuna tofauti gani kati ya 24 na 25 ???
Mkuu swali lako gumu japo mm nimekupata mantiki yako. Ngoja na mm nikujibu hivi:
20 ni F
21 ni D
60 ni C
61 ni B
17 ni mtoto
18 ni mtu mzima

Kwahivyo basi:
24 hajakubuhu, na anafaa kwa matumizi ya ndoa

25+ amekubuhu na hafai kwa matumizi ya ndoa
 
Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.

Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.

Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.

Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.

Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.

Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.


USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.

(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)
Na ww umeshashiriki hiyo laana maana hta ww wapo wengi wa umri huo umewaacha pia
 
Hili suala lina elements za ukweli flani ivi ndani yake
Mkuu éléments za ukweli siyo za kuuliza, ziko nyingi sana. Huwezi kumpiga denda demu aliyemwagiwa manii za wanaume 50+ ukabaki salama usiibebe mibalaa ya mibaba hiyo.

Halafu unaweza kukuta wewe unapita mlango wa mbele tu kumbe mwenzako mlango wa nyuma ulishatumika mpk kubomoka kabisa
 
Mkuu cyo kila mtu humu anafuraha mda wote na ck zote, sasa hizo stress zako umevurugwa huko unakuja na mada ambayo hujaifanyia utafiti binafc ckuelewi, kwa taarifa yako under 25 ni wachche waliokomaa kiakili yaani tayari kubeba majukumu ya umama, kuumizwa hakuhusiani na umri.

Pole sana, wanaotembea na hao wanawake unaowazungumzia ni wanaume kama ww
 
Uwiiii kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege[emoji23][emoji23][emoji23]
 
umeachwa na mwanamke nini...maana unashambulia tuuu bila logic.......acha tuwaapende age kitu gami....hao wadogo kwani ndio hawawi wa ovyo...sio formula hiyo tuliza kipapa
 
Back
Top Bottom