ambayo tumetoa droo.....bila kufunganaIkiwa ndani ya mechi mbili ngumu ambazo taifa stars wamecheza moja dhid ya central Africa republic ambayo taifa stars tulishinda bila uwepo wa wachezaji wa Simba
Mechi ngumu nyingine ni ya Jana dhidi ya miamba ya sudani ambayo tumetoa droo bila kufungana ambapo ndan ya mech mbili tumepata point 4 bila ya wachezaji wa Simba
Swali ni je, wachezaji wa Simba hawana impact yeyote pale taifa stars?
Au ndio wanatuhujumu taifa stars tusifanye vzr.
View attachment 2168856
Maana yake hakukuwa na mshindiWewe hujaangalia mpira wala kusikiliza popote, umekurupuka tu na matokeo yako feki hivyo hata hutoweza kuchambua kiwango cha timu husika kama hujaangalia mechi.
Kifupi tu nikusaidie Stars jana ka draw 1-1 ambapo alianza kufungwa dakika za awali akaja kurudisha second half. Metacha ndie aliesababisha tufungwe goli la kwanza kwa kutema mpira mbele ya adui hivyo Pengo la Manula lilikua dhahiri.
Ikiwa ndani ya mechi mbili ngumu ambazo taifa stars wamecheza moja dhid ya central Africa republic ambayo taifa stars tulishinda bila uwepo wa wachezaji wa Simba
Mechi ngumu nyingine ni ya Jana dhidi ya miamba ya sudani ambayo tumetoa droo bila kufungana ambapo ndan ya mech mbili tumepata point 4 bila ya wachezaji wa Simba
Swali ni je, wachezaji wa Simba hawana impact yeyote pale taifa stars?
Au ndio wanatuhujumu taifa stars tusifanye vzr.
View attachment 2168856
Kwenye lugha ya mpira maneno haya hutumikaIcho ni kiswahili tu mkuu......it means hamna mshindi apo
Mechi ya 1-1 wakati umesema droo ya bila kufungana halafu unasema ni kiswahili tu! Anzisha uzi jukwaa jingine, michezo tuachie wafuatiliajiIcho ni kiswahili tu mkuu......it means hamna mshindi apo
Ikiwezekana Simba SC ndiyo iwe Taifa Stars ( Timu ya Taifa ) kuanzia sasa hasa Jumapili hii ijayo.Ikiwa ndani ya mechi mbili ngumu ambazo taifa stars wamecheza moja dhid ya central Africa republic ambayo taifa stars tulishinda bila uwepo wa wachezaji wa Simba
Mechi ngumu nyingine ni ya Jana dhidi ya miamba ya sudani ambayo tumetoa droo bila kufungana ambapo ndan ya mech mbili tumepata point 4 bila ya wachezaji wa Simba
Swali ni je, wachezaji wa Simba hawana impact yeyote pale taifa stars?
Au ndio wanatuhujumu taifa stars tusifanye vizuri.
View attachment 2168856