M mzabzab JF-Expert Member Joined Aug 18, 2011 Posts 41,878 Reaction score 81,593 Mar 31, 2022 #41 Labani og said: Bocco na Nani[emoji16][emoji16] Click to expand... Hussein kapombe manula
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Mar 31, 2022 #42 Labani og said: Lkn nahisi ulinielewa.... Click to expand... Siwezi kukuelewa. Bila kufungana wakati magoli mawili yameingia, unawezaje kuelewa hapo?
Labani og said: Lkn nahisi ulinielewa.... Click to expand... Siwezi kukuelewa. Bila kufungana wakati magoli mawili yameingia, unawezaje kuelewa hapo?
P Pisila JF-Expert Member Joined Sep 18, 2021 Posts 1,799 Reaction score 3,196 Mar 31, 2022 #43 Mkazamoyo said: Kwenye lugha ya mpira maneno haya hutumika Sare means matokeo sawa mfano 1-1, 2-2 kifupi ni kuwa timu zifungane kwa idadi sawa ya magoli Then kuna suluhu yaani timu zisifungane kabisa iwe 0-0 Hicho ndo kiswahilii cha mpira Click to expand... Utopinyo hawajui mpira🤣🤣
Mkazamoyo said: Kwenye lugha ya mpira maneno haya hutumika Sare means matokeo sawa mfano 1-1, 2-2 kifupi ni kuwa timu zifungane kwa idadi sawa ya magoli Then kuna suluhu yaani timu zisifungane kabisa iwe 0-0 Hicho ndo kiswahilii cha mpira Click to expand... Utopinyo hawajui mpira🤣🤣