Umepanga kuwapa zawadi gani Wazazi/Walezi wako msimu huu wa sikukuu?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Habari zenu Wakuu,

Wakati wengine wakijiandaa kuwapa zawadi Wapenzi wao sio vibaya nasisi tukawakumbuka waliotulea Wazazi/Walezi kwenye msimu huu wa SIKUKUU.

Mimi Mjanja M1 nimechagua kuwapa Wazazi/Walezi wangu zawadi ya kukaa nao SIKUKUU nzima pamoja na kuwapa zawadi nyengine nyingi including PESA.

SWALI
Wewe Mkuu umejipanga kuwapa zawadi gani Wazazi/Walezi waliokulea msimu huu wa SIKUKUU?

Mjanja M1 kwasasa napatikana Paris Ufaransa 🇫🇷
 
Kuwaunganisha kwenye Freemason nao wawe wanakula maokoto kwa raha zao.
 
Hawalambi hata 100 majukumu yamenizidia.
 
Niliwapa siku ya Kristmasi na nyingine muda wowote niwapavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…