Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
ww kilazaa unacoma lichuo la ushirikaaa ucjipendekeze sua! Una sifa za kuingiaa Sua hata kama muccobs n constituent ya sua! So unajipendekeza Sua! Cc tunajua unasoma lichuo la ushirikaa hata ufanye nn ww kilazaa tuu! NB mitihan yenu mirahis ndo maana average yenu ni 50%
Mnaotambiana kuhusu vyuo ni utoto unawasumbua mmesahau kuwa hata shule za kata kuna watu wanafaulu kuzidi shule kongwe pamoja na kuwa na mazingira mazuri pamoja na walimu, maisha ni zaidi ya kusoma ardhi,udsm,sua,saut,udom n.k.
muone hata hajui kuandika, almuradi ndio nini sasa??,cheti chake kitaandikwa sua lakini transcript itaonyesha kasomea ushirika chuo ambacho wahadhiri wenye phd hawajai pishi. Majority ni ta na dogo anaona sawa tu...((almuradi)) cheti kitaandikwa sua!
WEWE MBUZI KWELI UNATAKA UKAWAANDIKE KWENYE RESEARCH YAKO ??? UONGEZE MARKS??? MUCCoBS(SUA) UMESOMEA CERTIFICATE HAPO NDEZI MKUBWAA WEWE
ww kilazaa unacoma lichuo la ushirikaaa ucjipendekeze sua! Una sifa za kuingiaa Sua hata kama muccobs n constituent ya sua! So unajipendekeza Sua! Cc tunajua unasoma lichuo la ushirikaa hata ufanye nn ww kilazaa tuu! NB mitihan yenu mirahis ndo maana average yenu ni 50%
MBUZI KWELI WEWE!!MITIHANI RAHISI NJOO UFANYE!!HUNA AKILI MBUZI WEWEE CHUO KUA CONSTITUENT COLLEGE NI KUJIPENDEKEZA??? ,MUCCoBS(SUA), HUWEZI KUFANANISHA NA ARDHI!!, KAMA KUWA CONstient college nikujipendekeza mbona wahITIMU WA ARDHI WALIKATAA VYETI VYA ARDHI WAKADAI VYA UDSM
aliyekwambia huwa tunaandika list ya wahadhiri kwenye research nani? And you are too proud to admit unafundishwa na tutorial assistants? Yes unathubutu kukejeli wenzako wanaofundishwa na wenye phd?
Ushirika unajisifu? Ungesoma ifm au aru unakoponda si ndio ungeona kila mtu takataka? Shameless low esteemed young boy!
muone hata hajui kuandika, almuradi ndio nini sasa??,
wewe hujawahi kufundisha chuokikuu mwalimu hawezi kuandika takataka hizi
Una ubishi wa kitoto sana bwana mdogo. Kua.
Mara mia IFM kuliko Ushirika. Huwezi kuzilinganisha taasisi hizi mbili kwa kiwango chochote.
Ardhi imezaliwa na Mlimani. Sasa amua mwenyewe.
SUA kama wao hawana tatizo. Wako kwenye viwango. Tatizo ni hiko chuo chao Kishiriki cha Moshi unakosoma wewe. Elimu unayoipata hapo haina sifa za kutunukiwa cheti na SUA. Period.
acha kutoka mapovuuu.....kilaza wa ushirikaaa! fuatiliaa vizur hao kwa nn walitaka waandikiwe UDSM then utapata majibuu kumbuka ardh imezaliwa 2007! Je waliokuwa mwaka 3 au mwisho kwa mwaka huo 2007 walikuwa hawana haki ya kuombaa chet chao waandikiwee Udsm? Jipangee kilazaaa ww..! By the way ngoja niachane na ww coz ntaonekana cna akili kama weweeee! Overrrrrrr
ww kilazaa unacoma lichuo la ushirikaaa ucjipendekeze sua! Una sifa za kuingiaa Sua hata kama muccobs n constituent ya sua! So unajipendekeza Sua! Cc tunajua unasoma lichuo la ushirikaa hata ufanye nn ww kilazaa tuu! NB mitihan yenu mirahis ndo maana average yenu ni 50%
mbuzi kweli wewe!! Nimefundishwa first year na dr.mwende unamjua??, dr.urio unamjua?? , profesa msanga unamjua??, profesa itemba unamjua??, mbuzi wewee eti ulikuwa lecturer ? ?kuandika kwenyewe hujui eti " ulmradi"takataka wewe nenda jalalani
mbuzi kweli wewe!! Nimefundishwa first year na dr.mwende unamjua??, dr.urio unamjua?? , profesa msanga unamjua??, profesa itemba unamjua??, mbuzi wewee eti ulikuwa lecturer ? ?kuandika kwenyewe hujui eti " ulmradi"takataka wewe nenda jalalani
you are a laughing stock. Usingizi mwema bwana mdogo.
Ukikua utatulia.
KUANDIKA KWENYEWE HUJUI!! WW NDIO NINI??, CNA NDIO NINI?? ARDH NDIO NINI??, NN NDIO NINI?? ,ETI MITIHANI RAHISI NDIO MAANA AVERAGE NI 50% UMEFANYA MITIHANI MINGAPI YA uE MBUZI WEWE
mwambie huyo maana kanikwaza kwel,et C ya muccoas ni sawa na B ya ifm,hv mbona kama unakurupuka tuu,hv unaijua ifm ww,ndo usome ifm uone jns core study inavokufanya urudie mwaka au udisco kabisa weye,cdhan hata kama unaijua sup kwa jns mnavotolewa mitihan miepec,acha kuropoka bla kufanya utafit.
Hv wewe una akili vizur..unajua watu wanakucheka!!fanya research ndio uropoke maana hata hujui ardhi kimetokea wap??so na muhimbili ni cha 2000s au??na cheti cha sua na mzunbe ni tofauti we punga!!umeshaingia chaka mdogo wangu..kilaZa mkubwa weweWEWE MBUZI KWELI KWANI ARDHI KUNA NINI CHA AJABU, CHUO CHENYEWE AVERAGE40%, KIMEANZA 2000S, KWA TAARIFA YAKO MUCCoBS NI CONSTITUENT COLLEGE YA SUA!! CHETI CHA MUCCoBS KINAANDIKWA SUA
Umekosa cha kufanya leo kila sehemu unapondea ifm kila sehemu si useme tu roho inakuuma hukuchaguliwapo hiyo average ya 40 unafaham hata inapatikana vipi? Ebu toa utoto wako subiri ufile chuo ndo utajua kwanini average zinatofautiana
MIkozi mingine