Umepangiwa chuo kipi na Course program ipi...?

Average ya 40% hapo ni kula bataaa ,ifm ni taasisi sio chuokikuu

pia MUCCOBS ni college co chuo kikuuu! Alafu poulee kama ujui me nipo UCLAS...ukipenda kiite ARU co ifm!! Note that kuhucu muccobs inatokana na Sua tuweke pemben coz ukicema hvyo na mm ntakuambiaa UCLAS(ARU) inatokana na UDSM!!! so lete fact co kudharau vyuo vya wenzakoooo mkuu mpigamsuli NB napenda challenge zakooo
 
Last edited by a moderator:
nawatakia masomo mema wote muliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali,lakini mkumbuke
1 40% yenu hamtapractices kozi mlizosomea
2 20% watakuwa wajasiliamali
3 20% yenu watashindwa kufanya kazi kwa digrii moja wataona bora wakasomee master immediate tu baada ya kuhitimu first degree
4 100% yenu mtakuja kubaini kumbe jina la chuo halina nafasi kwenye ajira
5 50% yenu mtabaini maisha ya chuo ni matamu(kale kaposho ka meal and accomodation)kuliko huku mtaani.
 

Thanks kwa ufafanuz. Wako! coz kuna lijamaa humu ndan kaz kupondaa vyuo vya wenzie!!
 

ww acha uongo ARU n kama ARU ila DUCE na MUCE ndio UDSM
 
Last edited by a moderator:
wadau vip wengi wenu mme chaguliwa first choice au last choice?....
 
ifm na teku bora teku japokuwa ckpend teku

Nachukia ubishani wa vyuo kupita maelezo...wewe ni --------..uzuri wa chuo ni nini?? Majengo au elimu inayotolewa?? ...humu ndani kuna thread inaitwa vyuo 17 bora sasa ndani ya hiyo thread kuna mtu ameweka link moja nzuri sana..itafute iyo kwa faida yako halafu uangalie ifm ni ya ngapi na uko unakodhani we bora ni wa ngapi...ila msimamo wangu unabaki pale pale kuwa ujanja ni kupata ajira nzuri tu na wala sio kusoma chuo bora...unaweza kusoma chuo bora halafu ukadisco,sasa kitakuwa kimekusaidia nini??
#think big wewe
 
ww acha uongo ARU n kama ARU ila DUCE na MUCE ndio UDSM

mkuu had ww uelewi hili ngoja nikufafanulie bac; iko hv UDSM ndo imezaaa ardhi(zaman ilikuwa inaitwa UCLAS) mwaka2007, pia UDSM imezaa muhimbili university, na kama sikosei pia udsm ndo imeizaa Sua(zaman ilikuwa ni university of dar-es-salaam college of agricultre)!! Vyuo vyote hvyo vinajitemea vyenyewe sasa!! So ckatai hiyo duce,muce zako kwamba ni part of udsm had nw! Bt nahc ulikuwa hujanielewaaaa! Naomba kusahihishwaa kama nimekoseaa coz me binadamu
 
Hahahaaaaa basi itakuwa poa....babuuuuuuuu.....pia niko na best comedian makax yupo risk management

hahaaahaaa teh teh teh uko kutakuwa balaa hasa zikifka cku za matamasha(talent)
 
ongera zako, utakuwa ulifanya vizuri sana. nataka nmchekie ndugu yangu lakini nashindwa....

nw inazngua labda baadae wakishatoa official statement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…