sa mnabishana nini?! acheni utoto
nyie ndo hadi advance mlikua mnashindana kuhesabu idadi ya tick na excellent kwenye madaftari yenu
me binafsi ardhi university- bachlr of science in building economics(quantity surveyor in profession)
mm ni product ya ardhi ni chuo bora kuliko vyote vinatoa koz tofaut, ucsome chuo kufuata jina njoo mtaan utajua nn kinasemwa..wewe sasa utachekwa??unakiponda ardhi kwa muccobs???wewe una akili timamu??unakijua ardhi vizuri??unajua wanasoma nn pale??au unaongea kiushabiki tu ili kupata umaarufu??jaribu kuwa mkubwa lakini ujue katika vyuo ambavyo vinatoa taaluma ambayo ni unique hapa tanzania basi ni ardhi university...mungu atakusaidia usidisco maana naona wewe ni kilaza wa mwisho..pole sana
mm ni product ya ardhi ni chuo bora kuliko vyote vinatoa koz tofaut, ucsome chuo kufuata jina njoo mtaan utajua nn kinasemwa
hicho kilaza wala kisikupe tabu coz naona hana jipya??atadisco mwaka wa kwanza2 huyo..hana sifa ndio maana amechagua MUCCoBS,unafkiri hapendi kusoma udsm,ardhi,sua,udom au mzumbe??sema hana sifa ndio maana amekwenda huko patasote...:disapointed:
WEWE MBUZI KWELI KWANI ARDHI KUNA NINI CHA AJABU, CHUO CHENYEWE AVERAGE40%, KIMEANZA 2000S, KWA TAARIFA YAKO MUCCoBS NI CONSTITUENT COLLEGE YA SUA!! CHETI CHA MUCCoBS KINAANDIKWA SUA
ukigraduate muccobs chet kinaandikwa sua..? Duuh hlo nitafuatilia ili nijuee..!
usiogope mwana,tukakomae tu.tutakuwa wote civil pale coet.
UNAPAJUA MUCCoBS? SI ULIKUJA KUSOMA CERTIFICATE BAADA YA KUFELI FORM4, UKAJA KUANZIAA NA Certificate hebu niondokee hapa takataka
..wewe sasa utachekwa??unakiponda ARDHI kwa MUCCoBS???wewe una akili timamu??unakijua ARDHI vizuri??unajua wanasoma nn pale??au unaongea kiushabiki tu ili kupata umaarufu??jaribu kuwa mkubwa lakini ujue katika vyuo ambavyo vinatoa taaluma ambayo ni unique hapa tanzania basi ni ARDHI UNIVERSITY...mungu atakusaidia usiDISCO maana naona wewe ni kilaza wa mwisho..pole sana
UMEVURUGWA MARINDA WEWE!KAMA MUCCoBS PABAYA MWAMBIE BABAYAKO AKAJENGE CHAKE!! CHUO CHAKO NI USINGIZI TU AVERAGE40% ,D YA MUCCoBS , B ya ifm ni C ya MUCCoBS ,
Nimefundisha hapo miaka miwili kasoro. Mie sio undergraduate mwenzako dogo. Au kwa sababu najibishana na wewe umeniweka level yako?
MUCCoBS NI CONSTITUENT COLLEGE YA SUA KWA HIYO Ni SUA!! je ARDHI NA SUA WAPI NI CHUOKIKUU??, ARDHI PENYEWE average40%, utafananisha na SUA(MUCCoBS) 50%?
MUCCoBS NI CONSTITUENT COLLEGE YA SUA KWA HIYO Ni SUA!! je ARDHI NA SUA WAPI NI CHUOKIKUU??, ARDHI PENYEWE average40%, utafananisha na SUA(MUCCoBS) 50%?
Dogo unayetukana wenzako, hebu tuonyeshe ulivyo na bahati ya kuwa Ushirika kwa kututajia wahadhiri watano tu wenye PhD chuoni kwako. Muondoe Bee na Magigi. Tafadhali.
una lolote wewe unajipendekeza kwa SUA! kwan ukigraduate MUCCoBS chet chako kinaandikwa umegraduate Sua hata kama ni constituent university ya sokoinee! hiloo kilazaaa linashobokeaa sua..! ww ni kilazaaa tuuu unapataman ARDHI, SUA(main campus), UDSM, MUHIMBILI,UDOM!! Cema ulikosaa ndo maana ukapangiwa lichuo la ushirikaaaaaa libaayaaaa