Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja kwa moja kwenye mada...hilo swali ni gumu sana kwa vijana domo zege(mostly) na wapenda kutelezea ganda na ndizi.
Unakutana na binti mkali haswaaa ila kumuomba contacts inakua mtihani. Unapitia kwa rafiki zake, wanakupa namba zake ila unapewa SHARTI moja tu kwamba usimtaje...
Haya sasa unamfata inbox...baada ya salam na kujitambulisha sanaa...anakuuliza swali "nani kakupa namba yangu?"
Unaanza kujiuma uma weeee.
Jamani wazoefu wa haya mambo watupe majibu mazuri ya hili swali tata bila kumtaja aliekupa namba.
Baadhi ya majibu:
1. Niliiona kwenye profile yako facebook(tuna assume yupo fb)
2. Ilikua kwenye group la whatsap...lazima tu awe kwenye magroup aiseee
3. Mtu umpendae huwezi kukosa mawasiliano yake[emoji16] n.k
Jamani wazoefu wa haya mambo ongezeni sababu tuwaokoe madomo zege humu
Hahaaa[emoji23][emoji23]kuna mmoja kani boa jana nka mwambia nme ikuta ime bandikwa stend.nka zani i ni no ya mganga
Heheeee wazee wa ganda la ndizi.