Umepataje namba yangu!!!?

Namwambia nitakujulisha namba nimeitoa wap, kisha naendelea na mazungumzo
 

Njia bora ni kusingizia kakupa namba yeye mwenyewe, hapa lakini lazima uwe umesha bonganae kiasi.
FB, WhatsApp huko kote anaweza akawa hayupo au anatumia namba zingine.
 
Heheeee wazee wa ganda la ndizi.

Kumbe we ulitaka aseme; Eeee wajua, eee wajua, niliiii niliii pata insta, kumbe huko hayupo. Nani bwege hapo?? Nadhani jibu la kwanza ndo sahihi. Akiondoka yu aenda akiwaza jibu lako, nawe unampigia tena kwamba, unaomba lunch na yeye Sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…