Wacha nikwambie ukweli na ninakuomba usome even if it pains
Imagine upo kwenye jiji kwa miaka 7 bila kwenda kijijini kwenu
- unachomiliki ni simu refurbished imejaa memes za Kasongo
- Sehemu unayoishi umepanga
- hujaoa - umekuwa play boy sugu
- Huna mtoto na kama yupo hajulikani kwenu
- Huna Nyumba wala kiwanja wala shamba
- kipato kinaishia kwenye rent, chakula, kuhonga, usafiri, “waiter lete kama tulivyo nitalipa”, n.k.
Umeamua kurudi after 7 years unamkuta yule dogo uliemuacha yupo form 4 kipindi hicho akiwa
- Ana mji wake, kajenga nyumba yake vyumba vitatu
- nyumbani anakukaribisha unamkuta mke wake anawaandalia msosi
- Ana watoto wake wawili
- anakuonyesha ng’ombe wake wa maziwa na shamba hekari 3
- Nje kuna pikipiki ya mizunguko
Please baki kijijini omba ramani, Sio lazima kuishi Mjini, waweza kugeuka kuwa mtumwa wa kutajirisha wenye nyumba zao.